Timtim
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 608
- 124
Natafakari huu mgomo wa madaktari ulioanza kumi la mwisho wa mwezi uliopita (January) ki ukweli hauna mahusiano na Ghost Workers?
Vile mazungumzo yalivyoanza kwa interns kisha MAT kupenduliwa na sijui Jopo la Madaktari yote hayo hayajanikalia vizuri kichwani mwangu. Sijui nimuulize nani swali linalo nisumbua 'Jee Madaktari walikuwa wameshahakikiwa' hamna madaktari hewa? Ama huu ulikuwa ujanja wa Wajanja ili kuvuruga juhudi za serikali kuhakiki wafanyakazi wa Wiz ya Afya? Waziri Mkuu nakumbuka alimtaja Dr. Ulimboka kuwa si mtumishi wa serikali bali ni Dr katika NGO. Ikawaje naye aongoze kwenye maslahi ya madokta wa serikali.
Inabidi wote tutafakari kwa undani pamoja na kuwa madai ya madaktari yana ukweli ulowazi.
Vile mazungumzo yalivyoanza kwa interns kisha MAT kupenduliwa na sijui Jopo la Madaktari yote hayo hayajanikalia vizuri kichwani mwangu. Sijui nimuulize nani swali linalo nisumbua 'Jee Madaktari walikuwa wameshahakikiwa' hamna madaktari hewa? Ama huu ulikuwa ujanja wa Wajanja ili kuvuruga juhudi za serikali kuhakiki wafanyakazi wa Wiz ya Afya? Waziri Mkuu nakumbuka alimtaja Dr. Ulimboka kuwa si mtumishi wa serikali bali ni Dr katika NGO. Ikawaje naye aongoze kwenye maslahi ya madokta wa serikali.
Inabidi wote tutafakari kwa undani pamoja na kuwa madai ya madaktari yana ukweli ulowazi.