klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Mgombea: nitajenga daraja hapa kijijini
Wananchi: Mheshimiwa! hakuna mto
Mgombea: Nitachimba
Wananchi: Mheshimiwa! hakuna mto
Mgombea: Nitachimba
heheeh halaf mgombea anatafta mchumba ujue! vipi upo availebo sweetlady?tehe!tehe!tehe!
Huyu mgombea noma!
Haishiwi majibu?
Lazima atakuwa mgombea kwa ticket ya CCM.
hahhahahh mgombea mwogaMgombea: Ndugu wananchi hivi sasa ni vita, na mnajua tutakwenda vipi vitani?
Wananchi: Wewe mbele sisi nyumaaaaa!
Mgombea: mabasha wakubwa nyinyi! tutakwenda bega kwa bega.
Wananchi: khaaaa!