huyu mwizi wa nyumba za serikali
My best combination ever:
1. Edward Lowasa (President)
2. Pombe Magufuli (PM)
3. ZZK(fedha)
4.Muhongo(energy)
5.Mwigulu (Viwanda)
6. Dr. Slaa (Minister of Propaganda)
Rais ajae ni Wassira....
watu wa nje ya chama ndo hawajui,
refer to ndio mtu alieongoza kwa kura Kwenye CC,
jamaa ana ushawishi mkubwa sana ktk CCM Ili jina lake lipite,jamaa noma,watu tu hawajui....
magufuli ni mchapakazi lakini hafai kuwa kwa rais kwa sababu zifuatazo
1. intellectual arrogance - anadhan kua anajua kila kitu na akishaamua basi hakuna wazo jipya litakalokuja kuimprove alichoamua ni lazima kifanyike ivyo ivyo au hakuna wazo jipya litalomfanya abadili maamuz kwamba hicho anachokitaka kinawez kisiwe sahihi kwa mfano alivyokua anavunjia watu ovyo mpaka aliposhinwa ile kesi mahakamani wakat yy alikua anang'ang'ania kua anatimiza sheria.
the ultimate glory i honestly fee should go to Dk. Harrison mwakyembe, he is composed, mchapa kazi na sheria anazijua vizur and he got the caliber kuwa mvumilivu!!!
sitta is simply lacking some know how and smartness, and he has already passed his sell by date!!!
Inaelekea unamjua sana!Tunahitaji rais kama magufuli,nchi hii imechoshwa na siasa na sasa inataka utendaji na vitu vionekane kwa mipango,watu wanafanya nchi kama idara ya zimamoto, nchi imekuwa na slogani nyingi,mara ari mpya,maisha bora,kilimo kwanza, big result now,mabilioni ya kikwete...magufuli hana upuuzi huo,yeye anafanya kazi japo ana mapungufu, mapungufu hayo yanafunikwa na utendaji,usimamiaji.KAMA HAMTAMPA WA MUUNGANO,NI BORA TANGANYIKA IRUDI TUTAMPA URAIS WA HUKU
..ukisikiliza hotuba za Magufuli anazotoa mbele ya "laisi" Dr.Jakaya "Mlisho" Kikwete ndiyo utachoka kabisa.
Lowassa ndiye rais ajaye!
Au wewe ni mhanga wa magufuli? maana jamaa ameumiza wengi,ukianzia waliojimilikisha magari ya umma,njoo kwa wezi wa viwanja, malizia na samaki alizozikamata na meli ikazama.
Kimsingi tunamhitaji heri alaumiwe kama nyerere lkn nchi isonge mbele
Tafiti zilizofanywa na watanzania ni kuwa Tanzania na vijana wengi kwa sasa wanamuhitaji Rais msomi zaidi kama professor. Wengine walifikia hitimisho kuwa kwa sasa Watanzania wanamuhitaji Prof. Anna Tibaijuka aichukue nchi hii. anafaa ni mchapakazi, msomi mwenye uzoefu wa kimataifa.
Basi wewe pia ni mhanga wa mwalimu nyerere alikamata wahujumu uchumi,lkn na wale waliopata mali kwa jasho lao nao walifilisiwa,Pia wewe ni mhanga wa mh. Mwinyi kwani yalikamatwa mapesa mengi uwanja wa ndege na Mrema ikulu ikamnyamazisha na kipindi hicho ndo skandari za kusafirisha wanyama zilianzia, wewe pia ni mhanga wa mh, mkapa kwani uwekezaji na mikataba inayoitesa nchi hadi sasa ilianzia hapo,ya sasa unayajua sina haja ya kueleza ninachotaka kusema ni kwamba hakuna mtu perfect,tunalinganisha mapungufu yake na mema ya mtu mema yakizidi mabaya tunasema ni mwema hata kama kuna baadhi ya mabaya aliyoyatenda..yes, mimi ni mhanga wa Magufuli.
..kwa wizi wake na hujuma zake alipouza nyumba za serikali.
..Magufuli alidai zoezi hilo litailetea serikali mapesa mengi kiasi cha kuiwezesha kujenga nyumba nyingi zaidi.
..Magufuli ni mropokaji.
..hana kabisa breki ya mdomo.
..pia inaonekana hajatulia kimawazo, na Uraisi hauhitaji mtu wa namna hiyo.