Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Don’t pretend you know me fella! You know nothing about me. Ni mpumbavu tu wewe hata CAG Assad anaandika mihasira! Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyo MUUAJI.

Kama Trump alimuinamisha Babaako na wewe juha usidhani ni kila mtu anafanya huo upuuzi taahira wewe.

 
I wish you could be an IGP kwahaya maono yako
 
Wewe ni maskini kama maskini wengine kama mimi. Na ni mjinga wa kiwango cha PhD.
Listen you blank headed. Huwezi kusema Rais muuaji, dikteta, and so forth huku uko Tz salama salimini.
Unawafahamu viongozi madikteta au unasikia tu. Kuna dikteta kama Marais ulaya na Amerika?
Hivi unaweza ukaorodhesha Tz kwenye nchi ambazo ni za kidikteta?
Kuwa serious mkuu. Usiimbe tu usiyoyajua.
Au unatumika?
 
Mie siandiki bila kuwa na ushahidi juha mkubwa wewe! Narudia tena wapuuzi kama wewe ndiyo chanzo cha huyo nduli na dikteta wa Ikulu kuvimbisha kichwa kuona anafanya la maana kumbe analiangamiza Taifa.




 
Mkuu Pascal Mayalla, mshtuko ulishaisha au bado unaendelea kusikitika, kuhuzunika, kuogopa, kusononeka na kunyong'onyea ...........!!?
 
Hivi kwa akili yako unaamini kwamba huyu anayetuongoza sasa alikuwa kwenye succession plan ya chama chake? Hata kama kwenye kikao cha Dodoma walikuminya nanahiiii..... basi usijitoa ufahamu kiasi hicho. Usije ukasadifu maana ya jina lako la Mayala
Mkuu Kihava, jf kila siku watu wapya wanajiunga, na threads ni nyingi sana, hivyo kuna vitu vilisemwa zamani huko nyuma kuwa vitatokea, vikitokea ndio watu wanajua. Bandiko hili ni uthibitisho wa succession plan ndani ya CCM, Magufuli was spotted na wazee wa "the inner circle" bila yeye kujijua, akawa groomed silently.
P
 
Kwa hiyo siyo succession plan bali ni wazee wa kuspoti watu. Sasa si ungesema kuwa upinzani hauna wazee wa kuspoti wagombea wa baadaye? AU hujui maana ya Succession Plan? Kwani succession plan ni ya taasisi au wazee fulani wa kubashiri na ku-spot? Nafikiri bado kuna madhara uliyapata kwenye kikao cha Dodoma. Jina la mayala limempata mhusika mwenyewe
 
Paskali
 
Kwa nini tuvunje/tubadili katiba kwaajili ya mtu mmoja? Huoni tutatengeneza mfano wa kurejelea (precedence) hatari sana?
 
Kwa nini tuvunje/tubadili katiba kwaajili ya mtu mmoja? Huoni tutatengeneza mfano wa kurejelea (precedence) hatari sana?
Mkuu SueIsmael, this is debatable, kipi muhimu zaidi kati kufanya igizo la uchaguzi and spends millions ambazo hatuna, or tuweke katiba pembeni, jamaa aendelee tuu hadi 2025 and we save, time, money and resources.
P
 
Mkuu SueIsmael, this is debatable, kipi muhimu zaidi kati kufanya igizo la uchaguzi and spends millions ambazo hatuna, or tuweke katiba pembeni, jamaa aendelee tuu hadi 2025 and we save, time, money and resources.
P
Unaamini kweli kabisa "kuweka pembeni" Katiba kuna gharama ndogo kulika kufanya uchaguzi?! Tunaweza "kuokoa" fedha na rasilimali kwa kutofanya uchaguzi lakini tutatengeneza tatizo lenye gharama kubwa zaidi.

Je ikifika 2030 kukawa na kiongozi mwingine ambaye "hatakubalika" akaamua kuweka uchaguzi kando ili "kuokoa" gharama, je tutawezaje kupinga ilhali 2020 iliwezekana?

We have to understand and accept the price we are "willing" to save and the price we will have to pay in return, in either choice.
 
We Pascal wewe uwe na aibu hivi ccm wangekuwa na succession plan 2015 wangemsukumiza JPM kama mwenyewe anavyokili mara kwa mara kwa kinywa chake tena hadharani mchana kweupe?
Mkuu Chief Kabikula, karibu, most welcome ujue, wakati bandiko hili linapanda, hata JPM mwenyewe hakuwa anajua kuwa ni yeye...
Hiyo ndio succession plan Yenyewe...
P
 
. Aiseeee watu munaona mbali balaa, yaliyonenwa sasa yanatimia wazi wazi.

..watu walikuwa hawa-pay attention tu.

..lakini tabia za Jpm zilikuwa zinajionyesha wazi kabisa mbele yetu.

..watu wangekuwa wanasikiliza vizuri matamshi yake wangejua kwamba Jpm si mtu anayependa kukosolewa. Na kwamba ukimkosoa atakulisha maneno, kukuzushia, na kukutolea majibu yasiyofaa.
 
Pascal ulisema sbb za uteule wa jpm ulizishangaa sana na zilikuwa zaa ajabu mno japo hukusema!!!Sasa sababu ambazo hukusema ni hizi:
1.Kuua upinzani nchini tanzania!!!
2:Kuirudisha nchi kanda ya ziwa ili kuivuruga kanda ya kaskazini hasa kwa wachaga na waarusha!!!
3:Kuiua sekta binafsi kwani kipindi cha awamu ya nne sekta binafsi imekua sana hadi inatishia uhai wa maamuzi ya serekali!!!RIP MUFRUKI,RIP RUGE,MENGI NA WENGI WATAKAO FUATA BAADAE!BADO KUNA WATU WATAKUFA SANA TU AU KUFILISIWA ILI KURUDISHA UHAI NA HESHIMA YA SEREKALI!!!
4:MENGINE ONGEZEA!!!
 
Ambao wako njiani kufa ororodha ni hii, Habinder Sigh, Rugemalira, Diallo.........
Orodha ni ndefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…