Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Don’t pretend you know me fella! You know nothing about me. Ni mpumbavu tu wewe hata CAG Assad anaandika mihasira! Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyo MUUAJI.

Kama Trump alimuinamisha Babaako na wewe juha usidhani ni kila mtu anafanya huo upuuzi taahira wewe.

Utakuwa na maisha ya kwenye movie tu, uhalisia ukijikuna unatoa unga.
Wenye maisha yao hawamo humu na kama wamo hawasemi kama unavyobwabwaja wewe. Tulizana mkuu, Magufuli ndo presedent. Mihasira yako haitomtoa madarakani. Kama umelipwa kwa hiyo kazi pasi kujua basi nyamaza.
Huyo trump anaekuinamisha aliingiaje madarakani? Kashfa na vibweka debe lakini huwezi kukosoa zaidi ya kushangilia upuuzi kwa sababu tu ni USA.
Mmefundishwa kuwa Magufuli hafai basi mnaimba kama kasuku.
Unaishi wapi mkuu? Kama ni hapa Tz ni kweli Magufuli hana jema hata moja? Au unajisahaulisha na kuona hayo unayoropoka? Kuwa mstaarabu japo kidogo kwa kusema hili amekosea na hili ni zuri.
Eti hakuna jema hata moja. Ila mbowe ndo kiongozi bora. Pole kwa upofu na ukiziwi.
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha, zimenisikitisha, kunihuzunisha, kuniogopesha, kunisononesha na kuninyongonyeza!, kuwa eti imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunitisha, kunihuzunisha, kunisikitisha, kunisononesha, kunigopesha na kuninyongoneza ni the reasons behind alizonitajia kada huyu za why mgombea wa CCM ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi kweli ni sababu za msingi na ziko justifiable kwa any reasonable man, sababu nyingine alizonitajia sio tuu ni unreasonable, bali pia ni unjustifiable! na hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!.

Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza hizo sababu nilizotajiwa za kwa nini ni Magufuli, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia juu juu tuu tena from just a single source, hivyo nahitaji kwanza kujiridhisha kwa kufanya verification kwa ku double check, na ku cross check ikiwemo kupata a collaborative verification na attribution ya third parties ili nijiridhishe kuwa hii ni habari za kweli na kuthibitisha kuwa kumbe hivyo ndivyo the inner core ya CCM inavyoweza kufikia maamuzi ya mgombea wake wa urais based on sababu nilizo tajiwa!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za kwa nini CCM imeamua mgombea wake wa urais kwa uchaguzi wa 2015 lazima awe ni John Pombe Magufuli tuu na sio mtu mwingine yoyote!, na kiukweli mkizisikia hizo sababu nilizotahiwa, naamini hata nyinyi mtashangaa!.

Kwa kawaida sisi waandishi wa habari, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "a news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kwa kui double check na kui cross check ili kujiridhisha kwa kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, baada ya kuthibitisha na kujiridhisha kuwa ni kweli, ndipo unaiandika.

Lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye dunia ya taarifa moto moto, "the world of information age", ukipokea tuu taarifa, unashare na wenzio, ndio maana na mimi nimeamua kuileta humu jf hii "news tip" hivi hivi ilivyo ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana JF, uipate ile "JF advantage" ya "be the first to know!", yaani ukiwa mwana jf, unakuwa wa kwanza kujua, hivyo nawaombeni tuu sasa wana jf mkae mkijua kuwa "Mgombea wa urais wa CCM kwa mwaka 2015 ni John Pombe Magufuli!".

Hili la kuamua ni Magufuli, limenistua kidogo kwa sababu kwa sisi tuliomfuatilia utendaji kazi wa Magufuli kwa kauli na matendo tangu akiwa waziri, mtu huyu ameonyesha wazi sio mtu mzima sana kichwani in terms of stability in decision making!, amefanya baadhi ya maamuzi mengi tuu kwa jazba, pupa, papara na kukurupuka kwa mtindo wa nimeamua mimi na liwalo liwe!, mwisho wa siku baadhi ya maamuzi yake ambayo mengine ni very national yanakuja kutu cost sisi kama taifa, mifano ipo, ikiwemo kuvunjwa ile Petro Station Mwanza, Uuzaji wa nyumba za serikali, Samaki wa Magufuli, just to mention but few, hivyo akipita na kuwa rais wa nchi hii, kama huu ndio mfumo wake wa kufikia maamizi, then you can just imagine, akiwa rais, atafanya maamuzi mangapi ambayo yatatucost kama taifa, ila pia kwa hulka yake, ana chance ya kuja kuwa the worst dictator this nation has ever had!. Tuombe Mungu asaidie, hili likitimia, huyu mtu abadilike, vinginevyo.. !.

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu nilizotajiwa ili sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za huyo kada wa CCM alizonipa kwa nini ni Magufuli!, na nyinyi pia zitawashitua, zitawatisha, zitawaogopesha, kuwahuzunisha, kuwasikitisha, kuwasononesha na kuwanyongonyeza!.

Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari kwa ma source inayoitwa "The Confidentiality of the source", na hapa wakati naileta taarifa hii humu jf, kwa vile zoezi la kumteua mgombea wa CCM bado liko mbali hadi mwaka ujao, unaweza kukuta hata Magufuli mwenyewe bado hajui kuwa ni yeye ndie atakuwa mgombea wa CCM, kwa sababu walio amua kuwa ni Magufuli sio kikao chochote rasmi na halali cha Chama Cha Mapinduzi, CCM bali ni "The Inner Circle" hivyo hii ni tip from the deep inside ya "the inner circle", na bahati mbaya sana, Magufuli mwenyewe hayuko kwenye hiyo "the inner circle!".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.

Sababu ya kuiwahisha humu JF kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana JF to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Paskali


Update: 12/07/2015

Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni ya kuandika only the truth, yaani kuandika nothing but the truth, sasa ili uweze kuandika jambo lolote, ni lazima jambo hili uwe ama umelishuhudia mwenyewe likitokea na ama umeelezwa na trusted sources na kujiridhisha kuwa ni la kweli, ndipo unaliandika.

Ikitokea ukilisikia jambo la mashaka mashaka, unapaswa ulipime kwanza, ujiridhishe na ukweli wake, ukiisha ridhika ndipo uliamini na ndio uliandike.

Kama ikitokea wewe kama mwandishi wa habari, ukasikia jambo lolote ambalo ni la mashaka huliamini, then hupaswi kuliandika, tena hata ikibidi usiliseme wala kuliandika ili lisijulikane.

Hivyo hizo sababu nilizotajiwa siku hiyo napewa tetesi hii kuwa mgombea urais wa CCM atakuwa ni John Magufuli, and why he has to John Pombe Magufuli only and nobody else, kwa sasa mimi siziamini, na kwa vile siziamini, naomba nisizitaje wala nisiziseme kabisa humu.

Hivyo naomba sasa tuchukulie bandiko hili kuwa ni mwana JF mmoja kwa jina la Paskali, nilijiandikia tuu kuwa mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni Dr. John Pombe Magufuli, na ikatokea tuu kuwa ni kweli, mgombea urais wa CCM kwa 2015 akawa ni John Pombe Magufuli, yaani I just happened

Nawaombeni sana tuchukulie kupitishwa kwa jina la Dr. John Pombe Magufuli, kuwa mgombea urais wa CCM, has just happened tuu na has nothing to do bandiko hili wala na sababu nilizotajiwa, bali kuhesabike tuu kuwa kumetokea tuu naturally, by chance, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwe tuu kama just a coincidence, kuwa mwana jf mmoja nilisema mgombea wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni John Pombe Magufuli na kweli ikatokea tuu coincidentally, mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 kweli akawa ni Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa mtakaonielewa asanteni kwa kunielewa, na kwa wale ambao ni wazito kuelewa mambo ya kufikirika tuu au ambao msio nielewa poleni na samahanini sana!.

Hongera sana Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi, CCM.

Paskali
I wish you could be an IGP kwahaya maono yako
 
Don’t pretend you know me fella! You know nothing about me. Ni mpumbavu tu wewe hata CAG Assad anaandika mihasira! Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyo MUUAJI.

Kama Trump alimuinamisha Babaako na wewe juha usidhani ni kila mtu anafanya huo upuuzi taahira wewe.
Wewe ni maskini kama maskini wengine kama mimi. Na ni mjinga wa kiwango cha PhD.
Listen you blank headed. Huwezi kusema Rais muuaji, dikteta, and so forth huku uko Tz salama salimini.
Unawafahamu viongozi madikteta au unasikia tu. Kuna dikteta kama Marais ulaya na Amerika?
Hivi unaweza ukaorodhesha Tz kwenye nchi ambazo ni za kidikteta?
Kuwa serious mkuu. Usiimbe tu usiyoyajua.
Au unatumika?
 
Mie siandiki bila kuwa na ushahidi juha mkubwa wewe! Narudia tena wapuuzi kama wewe ndiyo chanzo cha huyo nduli na dikteta wa Ikulu kuvimbisha kichwa kuona anafanya la maana kumbe analiangamiza Taifa.







Wewe ni maskini kama maskini wengine kama mimi. Na ni mjinga wa kiwango cha PhD.
Listen you blank headed. Huwezi kusema Rais muuaji, dikteta, and so forth huku uko Tz salama salimini.
Unawafahamu viongozi madikteta au unasikia tu. Kuna dikteta kama Marais ulaya na Amerika?
Hivi unaweza ukaorodhesha Tz kwenye nchi ambazo ni za kidikteta?
Kuwa serious mkuu. Usiimbe tu usiyoyajua.
Au unatumika?
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha, zimenisikitisha, kunihuzunisha, kuniogopesha, kunisononesha na kuninyongonyeza!, kuwa eti imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.
Mkuu Pascal Mayalla, mshtuko ulishaisha au bado unaendelea kusikitika, kuhuzunika, kuogopa, kusononeka na kunyong'onyea ...........!!?
 
Hivi kwa akili yako unaamini kwamba huyu anayetuongoza sasa alikuwa kwenye succession plan ya chama chake? Hata kama kwenye kikao cha Dodoma walikuminya nanahiiii..... basi usijitoa ufahamu kiasi hicho. Usije ukasadifu maana ya jina lako la Mayala
Mkuu Kihava, jf kila siku watu wapya wanajiunga, na threads ni nyingi sana, hivyo kuna vitu vilisemwa zamani huko nyuma kuwa vitatokea, vikitokea ndio watu wanajua. Bandiko hili ni uthibitisho wa succession plan ndani ya CCM, Magufuli was spotted na wazee wa "the inner circle" bila yeye kujijua, akawa groomed silently.
P
 
Mkuu Kihava, jf kila siku watu wapya wanajiunga, na threads ni nyingi sana, hivyo kuna vitu vilisemwa zamani huko nyuma kuwa vitatokea, vikitokea ndio watu wanajua. Bandiko hili ni uthibitisho wa succession plan ndani ya CCM, Magufuli was spotted na wazee wa "the inner circle" bila yeye kujijua, akawa groomed silently.
P
Kwa hiyo siyo succession plan bali ni wazee wa kuspoti watu. Sasa si ungesema kuwa upinzani hauna wazee wa kuspoti wagombea wa baadaye? AU hujui maana ya Succession Plan? Kwani succession plan ni ya taasisi au wazee fulani wa kubashiri na ku-spot? Nafikiri bado kuna madhara uliyapata kwenye kikao cha Dodoma. Jina la mayala limempata mhusika mwenyewe
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha, zimenisikitisha, kunihuzunisha, kuniogopesha, kunisononesha na kuninyongonyeza!, kuwa eti imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunitisha, kunihuzunisha, kunisikitisha, kunisononesha, kunigopesha na kuninyongoneza ni the reasons behind, sababu alizonitajia kada huyu za why mgombea wa CCM mwakani ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi kweli ni sababu za msingi na ziko justifiable kwa any reasonable man, sababu nyingine alizonitajia sio tuu ni unreasonable, bali pia ni unjustifiable! na hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!.

Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza hizo sababu nilizotajiwa za kwa nini ni Magufuli, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia juu juu tuu tena from just a single source, hivyo nahitaji kwanza kujiridhisha kwa kufanya verification kwa ku double check, na ku cross check ikiwemo kupata a collaborative verification na attribution ya third parties ili nijiridhishe kuwa hii ni habari za kweli na kuthibitisha kuwa kumbe hivyo ndivyo the inner core ya CCM inavyoweza kufikia maamuzi ya mgombea wake wa urais based on sababu nilizo tajiwa!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za kwa nini CCM imeamua mgombea wake wa urais kwa uchaguzi wa 2015 lazima awe ni John Pombe Magufuli tuu na sio mtu mwingine yoyote!, na kiukweli mkizisikia hizo sababu nilizotahiwa, naamini hata nyinyi mtashangaa!.

Kwa kawaida sisi waandishi wa habari, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "a news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kwa kui double check na kui cross check ili kujiridhisha kwa kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, baada ya kuthibitisha na kujiridhisha kuwa ni kweli, ndipo unaiandika.

Lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye dunia ya taarifa moto moto, "the world of information age", ukipokea tuu taarifa, unashare na wenzio, ndio maana na mimi nimeamua kuileta humu jf hii "news tip" hivi hivi ilivyo ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana JF, uipate ile "JF advantage" ya "be the first to know!", yaani ukiwa mwana jf, unakuwa wa kwanza kujua, hivyo nawaombeni tuu sasa wana jf mkae mkijua kuwa "Mgombea wa urais wa CCM kwa mwaka 2015 ni John Pombe Magufuli!".

Hili la kuamua ni Magufuli, limenistua kidogo kwa sababu kwa sisi tuliomfuatilia utendaji kazi wa Magufuli kwa kauli na matendo tangu akiwa waziri, japo kiukweli ni mchapa kazi, yaani ni jambo la ukweli, lakini mtu huyu ameonyesha wazi sio mzuri sana in terms of stability in decision making!, amefanya baadhi ya maamuzi mengi tuu kwa jazba, pupa, papara na kukurupuka kwa mtindo wa nimeamua mimi na liwalo liwe!, mwisho wa siku baadhi ya maamuzi yake ambayo mengine ni very rational yanakuja kutu cost sisi kama taifa, mifano ipo, ikiwemo kuvunjwa ile Petro Station Mwanza, Uuzaji wa nyumba za serikali, Samaki wa Magufuli, just to mention but few, hivyo akipita na kuwa rais wa nchi hii, kama huu ndio mfumo wake wa kufikia maamizi, then you can just imagine, akiwa rais, atafanya maamuzi mangapi ambayo yatatucost kama taifa, ila pia kwa hulka yake, ana chance ya kuja kuwa the worst dictator this nation has ever had!. Tuombe Mungu asaidie, hili likitimia, huyu mtu abadilike, na kuwa a benevolent one, vinginevyo.. !.

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu nilizotajiwa ili sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za huyo kada wa CCM alizonipa kwa nini ni Magufuli!, na nyinyi pia zitawashitua, zitawatisha, zitawaogopesha, kuwahuzunisha, kuwasikitisha, kuwasononesha na kuwanyongonyeza!.

Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari kwa ma source inayoitwa "The Confidentiality of the source", na hapa wakati naileta taarifa hii humu jf, kwa vile zoezi la kumteua mgombea wa CCM bado liko mbali hadi mwaka ujao, unaweza kukuta hata Magufuli mwenyewe bado hajui kuwa ni yeye ndie atakuwa mgombea wa CCM, kwa sababu walio amua kuwa ni Magufuli sio kikao chochote rasmi na halali cha Chama Cha Mapinduzi, CCM bali ni "The Inner Circle" hivyo hii ni tip from the deep inside ya "the inner circle", na bahati mbaya sana, Magufuli mwenyewe hayuko kwenye hiyo "the inner circle!".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.

Sababu ya kuiwahisha humu JF kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana JF to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.


Asante.
Paskali


Update: 12/07/2015

Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni ya kuandika only the truth, yaani kuandika nothing but the truth, sasa ili uweze kuandika jambo lolote, ni lazima jambo hili uwe ama umelishuhudia mwenyewe likitokea na ama umeelezwa na trusted sources na kujiridhisha kuwa ni la kweli, ndipo unaliandika.

Ikitokea ukilisikia jambo la mashaka mashaka, unapaswa ulipime kwanza, ujiridhishe na ukweli wake, ukiisha ridhika ndipo uliamini na ndio uliandike.

Kama ikitokea wewe kama mwandishi wa habari, ukasikia jambo lolote ambalo ni la mashaka huliamini, then hupaswi kuliandika, tena hata ikibidi usiliseme wala kuliandika ili lisijulikane.

Hivyo hizo sababu nilizotajiwa siku hiyo napewa tetesi hii kuwa mgombea urais wa CCM atakuwa ni John Magufuli, and why he has to John Pombe Magufuli only and nobody else, kwa sasa mimi siziamini, na kwa vile siziamini, naomba nisizitaje wala nisiziseme kabisa humu.

Hivyo naomba sasa tuchukulie bandiko hili kuwa ni mwana JF mmoja kwa jina la Paskali, nilijiandikia tuu kuwa mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni Dr. John Pombe Magufuli, na ikatokea tuu kuwa ni kweli, mgombea urais wa CCM kwa 2015 akawa ni John Pombe Magufuli, yaani I just happened

Nawaombeni sana tuchukulie kupitishwa kwa jina la Dr. John Pombe Magufuli, kuwa mgombea urais wa CCM, has just happened tuu na has nothing to do bandiko hili wala na sababu nilizotajiwa, bali kuhesabike tuu kuwa kumetokea tuu naturally, by chance, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwe tuu kama just a coincidence, kuwa mwana jf mmoja nilisema mgombea wa CCM kwa mwaka 2015 atakuwa ni John Pombe Magufuli na kweli ikatokea tuu coincidentally, mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015 kweli akawa ni Dr. John Pombe Magufuli.

Kwa mtakaonielewa asanteni kwa kunielewa, na kwa wale ambao ni wazito kuelewa mambo ya kufikirika tuu au ambao msio nielewa poleni na samahanini sana!.

Hongera sana Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi, CCM.

Paskali
Paskali
 
Mkuu Kidadari kumjua mgombea sio kumjua mshindi. Mshindi hupatikani baada ya wagombea kushindanishwa na kupigiwa kura, katika uchaguzi huru na wa haki, anayepata kura nyingi ndiye hutangazwa mshindi.

Hivyo tangu ile 2015 baada ya rais Magufuli kushinda na kutangazwa mshindi, tayari tumeisha jua mgombea wa uraisi kwa tiketi ya CCM kwa mwaka 2020 ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Na kwa vile tangu nchi yetu imepata Uhuru, siku zote, katika chaguzi zote, za vyama vingi, mgombea anayeshinda shinda nafasi ya urais siku zote ni mgombea wa CCM, hivyo rais wetu kwa 2020-2025 tayari anajulikana, hivyo niliwahi kushauri hivi
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums

Haswa kwa kuzingatia, it has been proved beyond reasonable doubt kuwa CCM itatawala milele
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. - JamiiForums

Hivyo nimeshauri kwa nafasi ya urais, we can save a lot of time, money and resources, tukiamua rais Magufuli aendelee tuu hadi 2025.
P
Kwa nini tuvunje/tubadili katiba kwaajili ya mtu mmoja? Huoni tutatengeneza mfano wa kurejelea (precedence) hatari sana?
 
Kwa nini tuvunje/tubadili katiba kwaajili ya mtu mmoja? Huoni tutatengeneza mfano wa kurejelea (precedence) hatari sana?
Mkuu SueIsmael, this is debatable, kipi muhimu zaidi kati kufanya igizo la uchaguzi and spends millions ambazo hatuna, or tuweke katiba pembeni, jamaa aendelee tuu hadi 2025 and we save, time, money and resources.
P
 
Mkuu SueIsmael, this is debatable, kipi muhimu zaidi kati kufanya igizo la uchaguzi and spends millions ambazo hatuna, or tuweke katiba pembeni, jamaa aendelee tuu hadi 2025 and we save, time, money and resources.
P
Unaamini kweli kabisa "kuweka pembeni" Katiba kuna gharama ndogo kulika kufanya uchaguzi?! Tunaweza "kuokoa" fedha na rasilimali kwa kutofanya uchaguzi lakini tutatengeneza tatizo lenye gharama kubwa zaidi.

Je ikifika 2030 kukawa na kiongozi mwingine ambaye "hatakubalika" akaamua kuweka uchaguzi kando ili "kuokoa" gharama, je tutawezaje kupinga ilhali 2020 iliwezekana?

We have to understand and accept the price we are "willing" to save and the price we will have to pay in return, in either choice.
 
We Pascal wewe uwe na aibu hivi ccm wangekuwa na succession plan 2015 wangemsukumiza JPM kama mwenyewe anavyokili mara kwa mara kwa kinywa chake tena hadharani mchana kweupe?
Mkuu Chief Kabikula, karibu, most welcome ujue, wakati bandiko hili linapanda, hata JPM mwenyewe hakuwa anajua kuwa ni yeye...
Hiyo ndio succession plan Yenyewe...
P
 
. Aiseeee watu munaona mbali balaa, yaliyonenwa sasa yanatimia wazi wazi.

..watu walikuwa hawa-pay attention tu.

..lakini tabia za Jpm zilikuwa zinajionyesha wazi kabisa mbele yetu.

..watu wangekuwa wanasikiliza vizuri matamshi yake wangejua kwamba Jpm si mtu anayependa kukosolewa. Na kwamba ukimkosoa atakulisha maneno, kukuzushia, na kukutolea majibu yasiyofaa.
 
Pascal ulisema sbb za uteule wa jpm ulizishangaa sana na zilikuwa zaa ajabu mno japo hukusema!!!Sasa sababu ambazo hukusema ni hizi:
1.Kuua upinzani nchini tanzania!!!
2:Kuirudisha nchi kanda ya ziwa ili kuivuruga kanda ya kaskazini hasa kwa wachaga na waarusha!!!
3:Kuiua sekta binafsi kwani kipindi cha awamu ya nne sekta binafsi imekua sana hadi inatishia uhai wa maamuzi ya serekali!!!RIP MUFRUKI,RIP RUGE,MENGI NA WENGI WATAKAO FUATA BAADAE!BADO KUNA WATU WATAKUFA SANA TU AU KUFILISIWA ILI KURUDISHA UHAI NA HESHIMA YA SEREKALI!!!
4:MENGINE ONGEZEA!!!
 
Pascal ulisema sbb za uteule wa jpm ulizishangaa sana na zilikuwa zaa ajabu mno japo hukusema!!!Sasa sababu ambazo hukusema ni hizi:
1.Kuua upinzani nchini tanzania!!!
2:Kuirudisha nchi kanda ya ziwa ili kuivuruga kanda ya kaskazini hasa kwa wachaga na waarusha!!!
3:Kuiua sekta binafsi kwani kipindi cha awamu ya nne sekta binafsi imekua sana hadi inatishia uhai wa maamuzi ya serekali!!!RIP MUFRUKI,RIP RUGE,MENGI NA WENGI WATAKAO FUATA BAADAE!BADO KUNA WATU WATAKUFA SANA TU AU KUFILISIWA ILI KURUDISHA UHAI NA HESHIMA YA SEREKALI!!!
4:MENGINE ONGEZEA!!!
Ambao wako njiani kufa ororodha ni hii, Habinder Sigh, Rugemalira, Diallo.........
Orodha ni ndefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

97 Reactions
Reply
Back
Top Bottom