BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,792
- 287,994
Don’t pretend you know me fella! You know nothing about me. Ni mpumbavu tu wewe hata CAG Assad anaandika mihasira! Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyo MUUAJI.
Kama Trump alimuinamisha Babaako na wewe juha usidhani ni kila mtu anafanya huo upuuzi taahira wewe.
Kama Trump alimuinamisha Babaako na wewe juha usidhani ni kila mtu anafanya huo upuuzi taahira wewe.
Utakuwa na maisha ya kwenye movie tu, uhalisia ukijikuna unatoa unga.
Wenye maisha yao hawamo humu na kama wamo hawasemi kama unavyobwabwaja wewe. Tulizana mkuu, Magufuli ndo presedent. Mihasira yako haitomtoa madarakani. Kama umelipwa kwa hiyo kazi pasi kujua basi nyamaza.
Huyo trump anaekuinamisha aliingiaje madarakani? Kashfa na vibweka debe lakini huwezi kukosoa zaidi ya kushangilia upuuzi kwa sababu tu ni USA.
Mmefundishwa kuwa Magufuli hafai basi mnaimba kama kasuku.
Unaishi wapi mkuu? Kama ni hapa Tz ni kweli Magufuli hana jema hata moja? Au unajisahaulisha na kuona hayo unayoropoka? Kuwa mstaarabu japo kidogo kwa kusema hili amekosea na hili ni zuri.
Eti hakuna jema hata moja. Ila mbowe ndo kiongozi bora. Pole kwa upofu na ukiziwi.