Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Afadhali ACT imechukua inatafuta mgombea, nyinyi mliparurana mkaona hamna mgombea mkakimbilia CCM kuomba mgombea! Mtaipata manake mgombea wenu hajui dira wala dhamira ya CHADEMA. Pia hajui kabisa kama CHADEMA ni chama cha kiliberali ama kihafidhina ama cha mrengo wa shoto ama mrengo wa kulia. Mliyemuandaa na kumpeleka ughaibuni kujifunza sera za nje mkamtupa baada ya kupewa vipande vya fedha!ACT mmechukua form za urais bila kuwa na mgombea