Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Upo tena na huku kamanda angalia usipasuke msamba uzi wako wa Zitto umeucha umekumbilia huku.
Teh teh teh
Mkuu Ritz nina jiamini kabisa na hakuna nilipo telekeza uzi
Upo tena na huku kamanda angalia usipasuke msamba uzi wako wa Zitto umeucha umekumbilia huku.
Teh teh teh
Kajuaje? Kwani wagombea wameshatangazwa?
Hili ndilo swali LA msingi...
Kwani majina mnayatoa lini Chadema ?
Jana MTU mmoja aliandika humu kuwa yanatoka Leo mpaka muda huu kimya kulikoni?
Hivi hapo nimekosea wapi mkuu?kumtakia kila la kheri ndio ubaya wangu na kunihukumu kuwa ubongo wangu umebanguliwa?
Nyie huwa bongozenu zimebunguliwa hamjui siasa mnapenda kila siku nyie jipimeni
Sijamwambia vibaya ispokuwa wanakera wanataka kila jambo hum liwe kuisifia cdm yao inaongozwa na miungu! kama upuzi wakajingajinga si wote, siasa nikukosoana na kupongezena sasa ukikosoa unapewa majina ya kijingajinga kama walivyo wajinga waoMkuu umekosewa kitu gani hadi unamwambia hivyo mwenzio,
Kamanda mtu akikatwa anakuwa hana msimamo?muulize aliongoza kwa kura ngapi,na kama amekatwa basi amestahili maana hana msimamo
Mwache apime uwezo wake mbona mahanga alikatwa akahama mwache naye ajaribu Lowasa mwenyewe alikatwa.Hahahhahahhaahaa kukatwa kunauma aiseeeila kama ana akili angebaki Chadema na sio kwenda huko wala kule
Upo tena na huku kamanda angalia usipasuke msamba uzi wako wa Zitto umeucha umekumbilia huku.
Teh teh teh
Ha ha ha ha haha..ritz umenicheksha sana kweli kukatwa kubaya kama lowasa aligoma kukatwa hakuna atakubali akatwe kamwe.Makamanda kumekucha tena nilisema kukatwa kubaya kama Lowassa kakataa kukatwa nani atakubali.
Usiombe kuwa na akili za nyumbu chalii angu.Hizi ndio akili za maCCM
Nasikia na viongozi makao makuu ya ACT wanatembea ofisi hadi ofisi na briefcase yenye fomu ya mgombea wa urais wakiomba mtu wa kugombea urais. Jana walikuwa kwa Kitila ikashindikana leo walikuwa kwa mtu mmoja mzito nae imeshindakana nasikia kesho wanamzukia mnene mwingine.Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za maoni.
Hivi hapo nimekosea wapi mkuu?kumtakia kila la kheri ndio ubaya wangu na kunihukumu kuwa ubongo wangu umebanguliwa?
Mkuu usemayo ni kweli? Mbona yule aliyekatwa kwa tuhuma za kuhonga NEC na wapanda pikipiki amepata hifadhi na kupokelewa kama mfalme ndani ya CHADEMA?Chadema hawana mchezo kwa mtu yeyote aliyepita kwa kutoa rushwa hata ya sh.500 na kushinda ktk uchaguzi lazima akatwe.Vp kwa upande wa pili?
ACT mmechukua form za urais bila kuwa na mgombeaMkuu usemayo ni kweli? Mbona yule aliyekatwa kwa tuhuma za kuhonga NEC na wapanda pikipiki amepata hifadhi na kupokelewa kama mfalme ndani ya CHADEMA?