Mgombea wa CHADEMA Mufindi Kaskazini Ajiunga ACT

Mgombea wa CHADEMA Mufindi Kaskazini Ajiunga ACT

livingafrican

Member
Joined
Jun 11, 2009
Posts
58
Reaction score
19
Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za maoni.
 
Hahahhahahhaahaa kukatwa kunauma aiseeeila kama ana akili angebaki Chadema na sio kwenda huko wala kule
 
Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za maoni.

Tunamtakia kila la kheri na heshima yake itabakia palepale,hatuwezi kumuita makapi
 
Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za maoni.

Ngoja nawao iwaingie
 
Ni aki yake kupigania anachokiamini kwenda bungeni sisi tunapigania mabadiliko kila LA heri katika safari yake
 
Nyie huwa bongozenu zimebunguliwa hamjui siasa mnapenda kila siku nyie jipimeni

Hivi hapo nimekosea wapi mkuu?kumtakia kila la kheri ndio ubaya wangu na kunihukumu kuwa ubongo wangu umebanguliwa?
 
Sukazi yake wapo wahusika

Ingekuwa kahama toka ccm angeitwa makapi,lkn kwa sababu katoka kwenye chama kinachozingatia demokrasia basi tunamuombea kila lenye kheri na mafanikio
 
Hahahhahahhaahaa kukatwa kunauma aiseeeila kama ana akili angebaki Chadema na sio kwenda huko wala kule

Kaenda kujitumbukiza kwa makusudi kwenye mto rukwa unaosifika kwa kuwa na mamba wengi tena wenye njaa
 
Kaenda kujitumbukiza kwa makusudi kwenye mto rukwa unaosifika kwa kuwa na mamba wengi tena wenye njaa
Upo tena na huku kamanda angalia usipasuke msamba uzi wako wa Zitto umeucha umekumbilia huku.

Teh teh teh
 
Back
Top Bottom