beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Wakulima (AFP) Said Soud Said akipokea amefika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kuchukua fomu za kuteuliwa kugombea katika Uchaguzi Mkuu.
Said amekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud.
Said amekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Mkuu Mstaafu Hamid Mahmoud.