CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.
Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.
Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,Wewe humjui Andrew Nyerere kaa kimya, akili za ukoo wako wote unganisheni hamfikii kichwa kimoja cha Andrew.
Kwanza Andrew ni mwanajeshi na si mwanasiasa na ana haki ya kuchambuwa siasa.
Hivi mnavyomtumia mdogo wake yule Makongoro Nyerere awe kama Joti na comedy zake kule ndio kumuenzi jina la Nyerere?
Coward.we ropoka tu unazani sheria haijapitishwa watakapokuta ushaidi utalialia kama kibogoyo tu,
Nyerere hayo unayozungumza hayana mashiko.
Lowassa aliahidi kuhamia CHADEMA na wenyeviti wote waliomuunga mkono ndani ya CCM na wabunge 150.
Leo wako wapi zaidi ya Mgeja na Msindai?. ambao nao hawajafuatwa hata na mwenezi wa tawi?.
Eti Lowassa ana nguvu ziko wapi hizo zaidi ya kufanya siasa za maji taka?.
Gia imrbadilishiwa angani, hao waliobaki huko ndio wanawauwa, wamebakizwa ccm kwa kazi maalum mwaka huu hamna pa kutokea.
Hivi siasa zikiisha utafanya kazi gani?, mfuate Gwajima mshauri wa rais na wamiliki wa benki Tanzania. Mkiitwa lofa mkubali.
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.
Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.
Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,
Leo nimemuuliza mwabaCCM mmoja hayo mabadiliko mnayotaka ni yapi? ameshindwa kunijibu, kumbe CCM ni copy and paste sera za UKAWA bila hata kuelewa maana yake.CCM ina matatizo zaidi ya mawili.
Mosi tatizo la ajira hasa vijana wengi wamekata tamaa wanajua pasipo shaka yoyote aliyesababisha tatizo lao ni CCM.
Pili huduma mbovu za afya hasa wazee,mama na mtoto hawana uhakika wa huduma bora,madawa na vifaa tiba.Tumeshuhudia kina mama watatu hadi wanne wakilala kitanda kimoja kabla ya kujifungua na baada ya kujifungua.
Tatu ahadi za uongo zimekuwa nyingi sana kiasi wananchi wemechoka kudanganywa.
Nne CCM imejaa kibri,imekuwa ikitumia majory mjengoni kupitisha mambo ya hovyo bahati mbaya luninga zinaonyesha madudu yote.
Tano Watanzania walitoa maoni kuhusu katiba ya nchi mambo yote ya msingi yameondolewa na wabunge/wajumbe wa CCM.
Sita CCM imeharibu uchumi wa nchi,deni la taifa limekuwa kubwa mno,mfumuko wa bei umekuwa wa kutisha,thamani ya fedha yetu imeshuka kupita kiasi.
Saba viwanda vingi vilivyojengwa enzi za utawala wa Mwl Nyerere vimekufa au vimeuliwa maksudi na serekali ya CCM matokeo yake ni kusababisha ukosefu mkubwa wa ajira.
Hahaha orodha ya maovu ya ccm;
Epa
Kiwira
Tokomeza...wananchi
Nyamongo
Deci...wamekula
Endelea...
Humjui unayemkejeli kima wewe kaa kimya.
Unadhani huyo ni Yericko?
Humjui unayemkejeli kima wewe kaa kimya.
Unadhani huyo ni Yericko?
Nilivyosema ni kwamba hizi habari zimenifikia four days ago. Kwamba kule Dodoma Kamati ya Usalama iliwachagua Augustine Mahiga,Augustine Ramadhani,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu. Halafu Mwenyekiti wa CCM,akayapuuzia yale majina. Akabakiza jina moja tu la Asha Rose,labda kwa vile huyu ni Waziri wa Sheria,kumuondoa ingekuwa very tricky. Jakaya Kikwete akaja na listi mpya. Kama hivi ndivyo ilivyotokea Dodoma,kwa nini hizi habari tunazipata barabarani,kwa nini haziandikwi katika gazeti? Kwa hiyo Mwenyekiti amefanya udikteta ambao ni fantastic,kuwapuuzia washauri ambao amewachagua mwenyewe,handpicked by him,Katiba ya aina gani,mahali popote duniani inaweza kuruhusu jambo kama hili,kwamba kiongozi afanye kazi bila ushauri?
Nilivyosema ni kwamba hizi habari zimenifikia four days ago. Kwamba kule Dodoma Kamati ya Usalama iliwachagua Augustine Mahiga,Augustine Ramadhani,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu. Halafu Mwenyekiti wa CCM,akayapuuzia yale majina. Akabakiza jina moja tu la Asha Rose,labda kwa vile huyu ni Waziri wa Sheria,kumuondoa ingekuwa very tricky. Jakaya Kikwete akaja na listi mpya. Kama hivi ndivyo ilivyotokea Dodoma,kwa nini hizi habari tunazipata barabarani,kwa nini haziandikwi katika gazeti? Kwa hiyo Mwenyekiti amefanya udikteta ambao ni fantastic,kuwapuuzia washauri ambao amewachagua mwenyewe,handpicked by him,Katiba ya aina gani,mahali popote duniani inaweza kuruhusu jambo kama hili,kwamba kiongozi afanye kazi bila ushauri?
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.
Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.
Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.
hilo tunalitambua ndio maana tunamuunga mkono lowassa
Interesting....
Haya sasa, tambo za 'kofia oyeeeeee' Vs Andrew Nyerere ambaye wengi tunaojua mabandiko yake huwa yanatoka moyoni!
Uko sahihi mleta mada tushashituka mbona kitambo tu
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,
Hivi hizo kura za kumpa ushindi lowasa zinatoka wapi? Arusha kuna minong'ono kuwa alikuwa ana mpango wa kuwafukuza wachaga ARUSHA mjini. Msiione wanamchekea wanamtumia kuongeza ruzuku na wabunge, kwenye urais asahau.
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.
Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.
Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.