Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,606
- 93,321
Majina nimeyaandika,Jaji Ramadhani,Mahiga,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro. Hao ndio waliochaguliwa katika mchakato,lakini Kikwete akabadilisha mambo ili ,inasemekana amweke Membe,na ndiyo ikaleta kura za hasira.
Kundi la Lowasa ndio liliichagulia ccm nani awe mgombea wa ccm, na sasa wamekigeukia kinyago walichokichonga wenyewe. Hakitasalimika.