Mgombea Urais UKAWA atatetea ILANI ipi?

Mgombea Urais UKAWA atatetea ILANI ipi?

atatumia ilani ya chama chake over.

sema:-
nimechoka kuuawa, nimechoka kuibiwa, nimechoka kuteswa na kunyanyaswa ndani ya
nchi yangu, nimechoka kuitwa mpinzani nimechoka kudharauliwa.

Sitaki tena utumwa ndani ya nchi yangu, sasa ni mimi na tanzania hapana ccm
octoba 2015


Umesikika
 
Back
Top Bottom