Mwanachama Sahihi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 572
- 217
Members wa JF, sina tatizo na mchakato unaoendelea kwenye vyama vyote vya siasa kwa sasa hapa nchini. Nafahamu na ndivyo kwamba UKAWA siyo chama kilichosajiliwa na hivyo katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao, umoja huo hauna ILANI ya pamoja.
Naomba tu ili kuweka kumbukumbu vizuri nifahamishwe bayana ni ilani ipi mgombea wa umoja huo ataenda kuinadi na kuitetea.
Nawasilisha
Naomba tu ili kuweka kumbukumbu vizuri nifahamishwe bayana ni ilani ipi mgombea wa umoja huo ataenda kuinadi na kuitetea.
Nawasilisha