Mwanachama Sahihi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 572
- 217
- Thread starter
- #41
Hata UKAWA ni hivyo hivyo. UKAWA sio chama, bali ni ushirikiano. Sasa na wao wakishinda wataunda serikali ya Umoja wa Kitaifa, ikijumuisha vyama hivyo vinne. Kwa hiyo, nadhani majibu unayo mkuu, ila tu unafanya uchokonozi
Sasa katika hawa nani wa kumlazimisha mwenzake? Kwa hiyo tusubiri washinde ndiyo waje na mtazamo wa pamoja? Wanashinda na sera gani au ni ushabiki tu?