MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,475
Mleta mada huielewa vyema maana neno UKAWA na wagombea wao.
Wewe ndie hujui sana mnafuata mkumbo
Mleta mada huielewa vyema maana neno UKAWA na wagombea wao.
Members wa JF, sina tatizo na mchakato unaoendelea kwenye vyama vyote vya siasa kwa sasa hapa nchini. Nafahamu na ndivyo kwamba UKAWA siyo chama kilichosajiliwa na hivyo katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao, umoja huo hauna ILANI ya pamoja.
Naomba tu ili kuweka kumbukumbu vizuri nifahamishwe bayana ni ilani ipi mgombea wa umoja huo ataenda kuinadi na kuitetea.
Nawasilisha
Kwahio alikuwa cdm pia ccmBTW, hata JK alitelekeza Ilani ya Chama chake, alitelekeza Ilani ya Chadema na Watanzania tukampongeza sana tu.
Vv
Members wa JF, sina tatizo na mchakato unaoendelea kwenye vyama vyote vya siasa kwa sasa hapa nchini. Nafahamu na ndivyo kwamba UKAWA siyo chama kilichosajiliwa na hivyo katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao, umoja huo hauna ILANI ya pamoja.
Naomba tu ili kuweka kumbukumbu vizuri nifahamishwe bayana ni ilani ipi mgombea wa umoja huo ataenda kuinadi na kuitetea.
Nawasilisha
Mkuu nikupongeze sana kwa kuelewa nalenga nini na nadhani hiki ndo kinachosumbua sana umoja huo. Nategemea hawa wanaojinasibu kuunga mkono umoja huo wausaidie kwa dhati vinginevyo itakuwa taabu kwelikweli huko mbeleni.Akili mbovu ninyi, kama watu wmeungana si lazima watekeleze kile walicho kubaliana? haitakuwa muungano kama yatatekelezwa ya chama kimoja, tumieni akili muda mwingine
jambo la maana ni kuhakikisha ccm inang'olewa .
Ilani zote ziko sawa
Ilani isiwe tabu sana.
Kwa nchi maskini kama Tanzania ilani ipo wazi.
Ondoa rushwa
Piga vita umaskini,
Kusanya kodi,
Wezesha wakulima wadogo,
Vutia wawekezaji kwenye viwanda vya usindikaji (mazao ya kilimo na mifugo),
Vutia uwekezaji kwenye viwanda kama vya nguo tusiuze pamba ghafi nje ya nchi.
Vitu vyote hapo juu vitaleta pesa kwa watu binafsi na nchi, then
Wekeza kwenye elimu, afya, miundombinu
Nyingine zote mbwembwe tu.
Nazisoma hapa ilani za vyama vya siasa hasa vyenye uwakilishi bungeni picha ninayopata ni mbali kabisa na mtazamo wako.
Kwa ujumla siyo rahisi kama unavyofikiria.
Mkuu nikupongeze sana kwa kuelewa nalenga nini na nadhani hiki ndo kinachosumbua sana umoja huo. Nategemea hawa wanaojinasibu kuunga mkono umoja huo wausaidie kwa dhati vinginevyo itakuwa taabu kwelikweli huko mbeleni.
Nafikiri dunia yako imeshia Tanzania?
Have you ever asked this STD I kids question kwamba Uhuru Kenyata ya Jubilee Kenya anatetea/tekeleza ilani ya chama gani? Or the recent Nigerian president elect Mamadu Buhari anatetea/tekeleza Ilani ya chama gani?
Kuna vitu wanaweka (vyama vyote) ambavyo wakati mwingine ni kuvutia wapiga kura tu. Unakumbuka ya CCM na mahakama ya kadhi? Ni vitu kama hivyo. Wao wenyewe hawaamini katika hayo.
Mwisho wa siku ni ilani sio katiba!
Uwe unafuatilia news, ilani mbona zimesemwa tayari. Chadema wao ni Ubepari, Cuf ni Uliberali. Nccr ni catastrophe prevention (majanga), nld wao privatization. Sasa mgombea wao maadam ni Prof. Lipumba na ni mchumi aliebobea basi atajua how to balance the equation
Members wa JF, sina tatizo na mchakato unaoendelea kwenye vyama vyote vya siasa kwa sasa hapa nchini. Nafahamu na ndivyo kwamba UKAWA siyo chama kilichosajiliwa na hivyo katika kuelekea uchaguzi mkuu ujao, umoja huo hauna ILANI ya pamoja.
Naomba tu ili kuweka kumbukumbu vizuri nifahamishwe bayana ni ilani ipi mgombea wa umoja huo ataenda kuinadi na kuitetea.
Nawasilisha
Mgombea huyo atatetea ilani yenye tija,ukweli,mafanikio,kuondoa umaskini, kero zilizojengwa/kupandikizwa na watawala watangulizi.
Kule Zanzibar CUF na CCM walishaunda serikali ya Umoja wa Kitaifa. Hivi wanatumia ilani ya chama gani kuongoza serikali mkuu?
CUF wanalazima kutumikia Ilani ya CCM maana hakuna namna nyingine
Kitakacho fanyika mkuu ni kwa mgombea kunadi ilani ya chama alichotokea katika kampeni ila akiwa madarakani anamix sera za pande zote mbili.
We huna akili...sorry to say that...we unafahamu kuwa wananchi wanakichagua sababu ya sera unazowapelekea? Ukibadilisha huko mbele ya safari nani atakayekuelewa?