MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 815
- 875
Hakuna mgombea asiye na Shaka, ni kawaida kwa binadamu,
Usidhani ni kweli kuwa CCM wanategemea kura za wizi, Kama ukishawahi ona namna kura zinavyohesabiwa na kubandikwa, kuibiwa huwa ni ngumu isipokuwa vijiji vya kushindia ambavyo havina wawakilishi katika chumba Cha kupiga/kuhesabu kwa kukazia kifupi ni kuwa Magufuli alikuwa rais (hata Sasa), hivyo anahofu kuliko hata Lisu, au mwingine. Akina Lisu wanashangaa support kubwa ambayo hawakuitarajia, magufuli anajua wengine, wanaenda tu kumshangaa alivyosikika nchini na anaonekanaje kwa namna alivyoipelekesha nchi nzima, yukoje mtu huyu, lakini nijwambia wananchi ni waumini wa Maendeleo ya vitu kuliko sera ya CHADEMA (Na magufuli anajua Hilo) na hapo ndipo panapowatisha wapinzani.
Usidhani ni kweli kuwa CCM wanategemea kura za wizi, Kama ukishawahi ona namna kura zinavyohesabiwa na kubandikwa, kuibiwa huwa ni ngumu isipokuwa vijiji vya kushindia ambavyo havina wawakilishi katika chumba Cha kupiga/kuhesabu kwa kukazia kifupi ni kuwa Magufuli alikuwa rais (hata Sasa), hivyo anahofu kuliko hata Lisu, au mwingine. Akina Lisu wanashangaa support kubwa ambayo hawakuitarajia, magufuli anajua wengine, wanaenda tu kumshangaa alivyosikika nchini na anaonekanaje kwa namna alivyoipelekesha nchi nzima, yukoje mtu huyu, lakini nijwambia wananchi ni waumini wa Maendeleo ya vitu kuliko sera ya CHADEMA (Na magufuli anajua Hilo) na hapo ndipo panapowatisha wapinzani.
Naomba ujibu swali kwa nini ana ona kuwa watanzania watamkataa? Jibu swali anaegombea ndio anaesema sio wewe Kwa nini anahofu? Kaona nini? Na Kwa nini anashangaa watu kujitokeza kugombea? Ina maaana hajui kuwa Tanzania ni ya vyama vingi? Pia nauliza anaposema kuwa mkapa walipewa kumi inamaana amechanganyikiwa na kuona hicho ndio kigezo cha yeye kupewa? Je hajui kuwa kipindi hicho kulikuwa Hakuna mateso, mauwaji, utekaji, udhalilishaji, Ubaguzi, ukabila, ubabe, kukamata Kamata na kuweka gerezani Halafu unasema toa hela nikuachie, ikatiri na kuvunja haki xa biandamu, inamaaana hajui kuwa vikundi vya wasiojulikana hawakuwepo?