ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
NINAPOISOMA RASIMU HII YA KATIBA HASA KIPENGELE HIKI CHA SIFA ZA MGOMBEA URAISI NDIPO NINAPOONA KUWA CHADEMA HADI SASA HAINA MGOMBEA MWENYE SIFA:-
Sifa za
Rais.
79.-(1) Mtu atakuwa na sifa ya kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano ikiwa:
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Katiba hii na sheria za nchi;
(b) ni mwenye akili timamu;
(c) wazazi wake wote wawili ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano;
(d) wakati wa kugombea, ana umri usiopungua miaka arobaini;
(e) anayo shahada ya chuo cha elimu ya juu kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi;
(f) ni mwanachama na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa au mgombea huru;
(g) sera zake au sera za chama chake si za mrengo wa kuligawa Taifa kwa misingi ya ukabila, dini, rangi au jinsi; na
(h) ni mwadilifu, anayeheshimu haki za binadamu, asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii na anafuata maadili ya viongozi na mwenendo wake hautiliwi shaka na jamii.
KATIKA KIPENGE HICHO NITACHUKUA HAPO SUB TITLE CHACHE
(g) sera zake au sera za chama chake si za mrengo wa kuligawa Taifa kwa misingi ya ukabila, dini, rangi au jinsi;
HUU NDIO MSUMARI WENU WA KICHWA HILI LA UKABILA NA UDINI SINA HAJA YA KULIFAFANUA SANA UKICHUKA IDADI YA WACHAGA PLUS IDADI YA WACHUNGAJI UKAGAWANYA NA IDADI YA MASHEKHE NA MAKABILA MENGINE JIBU UTAKUWA NALO
(h) ni mwadilifu, anayeheshimu haki za binadamu, asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii na anafuata maadili ya viongozi na mwenendo wake hautiliwi shaka na jamii.
HUYO MGOMBEA WENU KIBABU ANA SIFA GANI YA UADILIFU? UKIANZIA KANISANI HADI KWENYE NDOA MAJIBU UNAYO.
JIPANGENI
Sifa za
Rais.
79.-(1) Mtu atakuwa na sifa ya kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano ikiwa:
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Katiba hii na sheria za nchi;
(b) ni mwenye akili timamu;
(c) wazazi wake wote wawili ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano;
(d) wakati wa kugombea, ana umri usiopungua miaka arobaini;
(e) anayo shahada ya chuo cha elimu ya juu kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi;
(f) ni mwanachama na mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa au mgombea huru;
(g) sera zake au sera za chama chake si za mrengo wa kuligawa Taifa kwa misingi ya ukabila, dini, rangi au jinsi; na
(h) ni mwadilifu, anayeheshimu haki za binadamu, asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii na anafuata maadili ya viongozi na mwenendo wake hautiliwi shaka na jamii.
KATIKA KIPENGE HICHO NITACHUKUA HAPO SUB TITLE CHACHE
(g) sera zake au sera za chama chake si za mrengo wa kuligawa Taifa kwa misingi ya ukabila, dini, rangi au jinsi;
HUU NDIO MSUMARI WENU WA KICHWA HILI LA UKABILA NA UDINI SINA HAJA YA KULIFAFANUA SANA UKICHUKA IDADI YA WACHAGA PLUS IDADI YA WACHUNGAJI UKAGAWANYA NA IDADI YA MASHEKHE NA MAKABILA MENGINE JIBU UTAKUWA NALO
(h) ni mwadilifu, anayeheshimu haki za binadamu, asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii na anafuata maadili ya viongozi na mwenendo wake hautiliwi shaka na jamii.
HUYO MGOMBEA WENU KIBABU ANA SIFA GANI YA UADILIFU? UKIANZIA KANISANI HADI KWENYE NDOA MAJIBU UNAYO.
JIPANGENI