USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,718
- 27,812
"Lakini kabla sijamaliza nataka nimpongeze na naomba msichukie hili, Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuilinda amani ya nchi yetu, Lakini pia nivipongeze vyombo vya ulinzi na usalama, ndugu zangu hawa Jeshi na polisi hawalali, sisi tunakuwa tunalala lakini wao wanakuwa wako macho wanatulinda, kwahiyo niwaombe kwamba hawa msiwachukie jamani, hawa ni ndugu zenu hawa ni kaka zenu, hawa tuko nao pamoja kwa maana hiyo tuwapongeze sana kwamba hata sisi UDP, Tukikamata dola suala la mwanzo ni kulinda amani ya nchi yetu na hawa hawa ndio wanalinda hiyo amani."
Amesema Juma Khamis Faki, Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Saumu Rashid akimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake kubwa katika kuhakikisha amani na utulivu wa nchi unaendelea kudumu katika kipindi chote cha uongozi wake. #EastAfricaTV
USSR
Amesema Juma Khamis Faki, Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Saumu Rashid akimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake kubwa katika kuhakikisha amani na utulivu wa nchi unaendelea kudumu katika kipindi chote cha uongozi wake. #EastAfricaTV
USSR