Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Kumekuwa na sintofahamu nyingi sana juu ya hatima ya nani mgombea wa Ukawa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25.
Na sintofahamu hii imekuwa ikitumika na CCM kama sehemu ya propaganda na kuwahadaa wananchi kuwa UKAWA inamigogoro.
Lakini ukweli wenyewe utajulikana Tarehe 4 au 5 ya mwezi wa nane,Akiongea na Sauti ya ujerumani (DW) jana mchana katibu mkuu wa CHADEMA alisema"Mgombea wa ukawa atatangwazwa tarehe hiyo tajwa hapo juu.
Na ili kuondoa uongo au upotoshwaji unaofanyika kwa makusudi na baadhi ya watu ni vema kusubiri na kuwa wavumilivu kama mwenyekiti wa CHADEMA alivyosema mwanza na kila kitu kitakuwa wazi siku ikiwadia.
Habari zote zinazosambaa kuhusu uwepo wa Ukawa na Lowassa kujiunga CHADEMA ni kelele za CCM baada ya mgombea wao Pombe kuanza kuchuja,Na wananchi kuanza kumwona kama ni mtu wa kukurupuka na asie na busara za uongozi.
Iwe ni Dr. Slaa,Prof Lipumba au Lowassa hilo ni jambo linawahusu Ukawa,CCM Ni vema waache kuweweseka na waendelee kutulia dawa iwaingie.
CCM Mlitangulia tu,Na kutangulia si kufika.Ukawa wapo na wanakuja kwa kasi ya kimbuka,Nchi itakaa kimya soon.
Na sintofahamu hii imekuwa ikitumika na CCM kama sehemu ya propaganda na kuwahadaa wananchi kuwa UKAWA inamigogoro.
Lakini ukweli wenyewe utajulikana Tarehe 4 au 5 ya mwezi wa nane,Akiongea na Sauti ya ujerumani (DW) jana mchana katibu mkuu wa CHADEMA alisema"Mgombea wa ukawa atatangwazwa tarehe hiyo tajwa hapo juu.
Na ili kuondoa uongo au upotoshwaji unaofanyika kwa makusudi na baadhi ya watu ni vema kusubiri na kuwa wavumilivu kama mwenyekiti wa CHADEMA alivyosema mwanza na kila kitu kitakuwa wazi siku ikiwadia.
Habari zote zinazosambaa kuhusu uwepo wa Ukawa na Lowassa kujiunga CHADEMA ni kelele za CCM baada ya mgombea wao Pombe kuanza kuchuja,Na wananchi kuanza kumwona kama ni mtu wa kukurupuka na asie na busara za uongozi.
Iwe ni Dr. Slaa,Prof Lipumba au Lowassa hilo ni jambo linawahusu Ukawa,CCM Ni vema waache kuweweseka na waendelee kutulia dawa iwaingie.
CCM Mlitangulia tu,Na kutangulia si kufika.Ukawa wapo na wanakuja kwa kasi ya kimbuka,Nchi itakaa kimya soon.