Mafyangula
JF-Expert Member
- Jan 16, 2025
- 505
- 887
Mgombea Udiwani wa Kata ya Igawilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Msole Sanga amepongeza jitihada za Dkt. Tulia Ackson kwa namna alivyowasaidia wananchi wa kata hiyo pamoja na Jimbo jipya la Uyole kwa ujumla, licha ya kumpigia magoti akiomba ujenzi wa barabara za lami katika mtaa wa Mwanyanje pamoja na kituo cha Afya katika kata hiyo..
Kwa upande wake, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia CCM, Dkt. Tulia , amewataka wananchi hao kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia kazi kubwa aliyoianza kwa maendeleo ya taifa.
Kwa upande wake, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia CCM, Dkt. Tulia , amewataka wananchi hao kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kumalizia kazi kubwa aliyoianza kwa maendeleo ya taifa.