Mgombea ubunge wa UPDP Igunga

Hao ni wahuni wa Pale Igunga, jamaa zake Dovutwa

Mkuu, yule jamaa ni nomaa!!

Yani anasema vijana hawana ajira, wanaota jua tuuu kama solar panels!!!!

Halafu eti..........kuna msela mmoja anasema kinywaji mjinunulie wenyewe, chips zipo paleeeee!!!! kulaleki!!!
 
Heri ya huyu jamaa alieamua kutoa ahadi hewa akiwa kalewa kuliko jamaa wa magamba ambao kila kukicha wanaongeza mashangingi Igunga! baada ya uchaguzi hukaa kimya wasikumbuke ahadi walizoahidi.
 
Hiv ww ritz hulali, manake 12 asbh niliona post zako,sa hiz saa saba usiku nimetoka kujisaidia nilikuwa nimelala nachungulia humu jf upo! Mzee kwan nape anakulipa ovatime, unakiuka hata sheria za kaz mzee, lala ndugu yangu utakuja pata kiarus bure
ritz na wenzake wapo busy na hii kazi lakini mikojo inawatoka
 
Jamaa anacheza na maisha ya watu,pia nahisi ni mvurugaji anafaa viboko 6 vya Nguvu,na hiyo pesa aliyochukulia fomu bora angenunulia machungwa akala
 
Jamaa anacheza na maisha ya watu,pia nahisi ni mvurugaji anafaa viboko 6 vya Nguvu,na hiyo pesa aliyochukulia fomu bora angenunulia machungwa akala
mi nafikiri hawa ndo wanacheza na maisha ya watu sio huyu mchizi wa UPDP.
 
Nimempenda yule mgombea sio yule anayekuja na kigobore !yule mtu ni wa igunga original
 


Mkuu, hawaaminikia hao,
Wakishapata wanabadilikaga hao, hawataki tena kukaa kijijini, angalia asilimia kubwa ya wabunge nchi hii wametoka vijijini, bush kabisa lakini wakishapa huo Uhishiwa, wanahamia mijini, wanasahau walikotoka, wanasahahu hayo maisha, mifano ni mingi sana, bila shaka waweza kuwa na mifano kadhaa wewe mwenyewe.
 
Tendwa yuko wp,chama hakipo serious bado kina exist,naona wametumwa na magamba kupunguza kura na hamasa za vyama pinzani,dah tanzania tunayohitaji naiona ipo mbali sana kama chama hiki nacho kinawanachama kazi wanayo
 
yule jamaa ni kiboko.........nilibaki nacheka tu
 
Hiyo ndio Igunga bwana, sisi huku tunafaidi mengi
mmesahau lingine kuwa watu walikaribishwa vinywaji kwa hela yao, soda, bia na Chips Hakuna haja ya kusubiri Alhamisi kwa ajili ya kuangalia ze Komedi,komedi orijino, wala Futuhi
 
Hiyo ndio Igunga bwana, sisi huku tunafaidi mengi <BR>mmesahau lingine kuwa watu walikaribishwa vinywaji kwa hela yao, soda, bia na Chips Hakuna haja ya kusubiri Alhamisi kwa ajili ya kuangalia ze Komedi,komedi orijino, wala Futuhi&nbsp;
 

Alizidisha stimu ndo maana akaharibu.
 
Kuna neno moja alilolizungumza kuwa Vijana watapata ajira watakuwa wanawapiga Ng'ombe kupe watalipwa kwa MaPaund na Madolla!
 
Ni kweli huyu jamaa hayupo serius ila anaweza kuwa anafanya kazi ambayo ni very serius....!
 
Sijaona tofauti yake na Wenje ni watu wanofanana ki sera!
 
duh....mimi nilimuona nikashindwa kujua lengo lake hasa ni nini....tena mimi nilibahatika kumuona akicheza ndombolo huku yupo chicha.......tutaona mengi jamani....khaa
Cha kusikitisha zaidi ni jinsi wapuuzi TBC kumpa kichaa airtime yote ile wakati kuna mambo ya msingi sana ameongea msajili au wanakampeni wengine kama kafu na cdm

I really dont understand TBC ipo kwa faida ya nani kwani sidhani hata kama inawanufaisha CCM
 
Huyu Jamaa aligundua hana jipya la kupata attention ya watu ndio akaamua kujidunga mipombe yake nakupanda jukwaania na style ya comedy ili apate japo kuonekana kwenye runinga, na alifanikiwa kwani TBC1waliacha shughuli zao na kumpa air time ya kutosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…