Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Mkuu Tuko,
Umeshindwa kuelewa kitu kimoja muhimu Tanzania ukiwa mchafu/fisadi bado unaweza kushinda uchaguzi.Ikitokea Lema akashinda ubunge hakutaondoa kwamba aliuza ubunge
Wamaaanisha Last election ya yeye na Felix Mrema Aliuza Ubunge?????
Na Kama aliuuza aliuuza katika mazingira yapi ya ihali au kulazimishwa??
Mkuu Tuko,
Umeshindwa kuelewa kitu kimoja muhimu Tanzania ukiwa mchafu/fisadi bado unaweza kushinda uchaguzi.Ikitokea Lema akashinda ubunge hakutaondoa kwamba aliuza ubunge,alishiriki kumuuza diwani wa upinzani CCM,....
Alimuuza Diwani gani yule aliye kuwa nae kwa TLP namkumbuka enzi zile nkisoma huko yule Diwani ni wa huku mwanza msukuma yule nasikia anamsimamo wa mabadiliko mbaya hata CCM wenye pale wanamgwaya nakumbuka alikuwa anaitwa mawazo
Mkuu Tuko,
Umeshindwa kuelewa kitu kimoja muhimu Tanzania ukiwa mchafu/fisadi bado unaweza kushinda uchaguzi.Ikitokea Lema akashinda ubunge hakutaondoa kwamba aliuza ubunge,alishiriki kumuuza diwani wa upinzani CCM,anasema uongo kuhusu elimu yake.
Hivi ni wagombea wangapi wameisha tupiga changa la macho? me nacho dhani na ni bora hawa viongozi wetu wagombea i mean wawe wakweli uwakirishi sio lazima umalize chuo kikuuu ni umakinifu wako wa kazi kwa jamii uanvyojitole kuwakilisha wananchi wako yajue majukumu ya jimbo lako wanataka nini na utawafanyia nini uwe mzalendo na machungu ya jimbo lako na nchi yako usie mbaka uchumi