CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Mgombea Ubunge Jimbo la handeni mjini kupitia CUF chama cha wananchi , mhe Sonia Magogo amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi handeni mjini na kuchukua fomu ya kuwania ubunge.
#HandeniYetu
#SoniaWetu.