Uchaguzi 2020 Mgombea ubunge jimbo la Handeni mjini kupitia CUF, Sonia Magogo afika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
IMG_20200812_230351_591.jpg

Mgombea Ubunge Jimbo la handeni mjini kupitia CUF chama cha wananchi , mhe Sonia Magogo amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi handeni mjini na kuchukua fomu ya kuwania ubunge.

#HandeniYetu
#SoniaWetu.
 
Back
Top Bottom