Josorobert
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 629
- 215
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Kujitoa kwenye chama gani
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Unasikiliza watu wamekaa kwenye keyboard wamefungiwa ndani wanaandika uongo na wewe unasikiliza..Haw jamaa makamnda wako siliace, mbona wanatuchanganya, hapa hakuna mabadiliko.
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
MGOMBEA MWENZA KUREJEA CUF
Kutokana na mivutano inayoendelea ndani ya viongozi wa upinzani, taarifa zinasema, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa viongozi wa CUF upande wa Tanzania bara kulalamikia kutotimizwa kwa makubaliano yaliyofikiwa wakati wanaungana katika umoja na kupinga namna Chadema wanavyoendesha umoja huo. Aidha kutokana na hali hiyo,taarifa zinadai kunauwezekano mkubwa mudawowote kuanzia sasa mgombea mwenza wa Chadema Juma Duni kutangaza kujitoa kwenye chama hicho na kurejea CUF.
Haw jamaa makamnda wako siliace, mbona wanatuchanganya, hapa hakuna mabadiliko.