mimi binafsi nasema hivi....wapinzani wangeungana...paSipo shaka yeyote kura yangu hii moja ingekuwa yao........ubinafsi wao,uchoyo wao,ulafi wao ambao unataka kujishibisha kila mmoja wao nd unasababisha CCM INAKUWA IMARA ZAIDI NA ZAIDI.....! PASIPO KUUNGANA HAKUNA USHINDI.......USHINDI UTABAKI KUWA NDOTO INAYOOTWA KILA BAADA YA MIAKA MITANO...THEY WILL NEVER...NEVER..ATTAIN IT...!