Mgombea anayekataa midahalo hatufai

Mgombea anayekataa midahalo hatufai

Kwani mdahalo ndio hitaji la wapiga kura ? Kwani in lazima ufanye mdahalo Na Chadema mbona vyama in Vingi Fanya Na TLP ya swaiba Wa ccm
 
Why did Kikwete refuse the national debate against dr Sala in 2010?...and the opposite is very true this year.

Very good question that MUST be answered before throwing a stone towards UKAWA candidate. Can't wait to hear the answer!
 
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS


Kikwete alifanya mdahalo na nani au na yeye hakufaa
 
Jay milionia umelipwa kiasi gani hawafai wewe Na nani acha upumbavu kama Mh.mkapa alivyosema
 
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS

We wacha upuuzi wako hapa, kikwete 2010 alifanya mdahalo na nani:what: kwanza hata kuandika hujui (kukisa ndio nn:what🙂 vitu vingine sio mnatoka chooni mbio mnakuja kuandika upuuzi hapa..!!
 
Mtakimbia midahalo lkn mtaisoma namba tu mwaka huu mnalo mtajinyea majukwaani mpaka mukome


Nikafiri ni analytical thinker hasa nilivyoona post zako za hapo juu unatetea hoja yako kwamba 'unazungumzia uchaguzi wa sasa'

kwikwikwikwikwi kumbe hamna kitu ni wale wale tu akina sijui tony anthony, bintimagufuli et al...ni matusi na taarabu kibaoooooo
 
Kikwete alivyokuwa anakwepa midahalo mmesahau..mwaka huu huyo mgombea wenu atakuwa rais wa wake zenu ...sisi na Lowassa tu 😅
 
Wafuate kwenye majukwaa ya kampeni




Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS
 
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS

Acha upuuzi rais wako alikataa midahalo na kakutawala miaka kumi! Think twice
 
Back
Top Bottom