Mgombea anayekataa midahalo hatufai

Mgombea anayekataa midahalo hatufai

Jay Milionea

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
1,185
Reaction score
154
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS
 
Why did Kikwete refuse the national debate against dr Sala in 2010?...and the opposite is very true this year.
 
Ccm wamekataa midahalo miaka 50. Kwa hiyo hawafai.
Hatutaki hadaa
 
Kabla hujapost kitu uwe na kumbu kumbu vizuri, tuletee kumbu kumbu ya ni lini mgombea wa ccm alishiriki mdahalo tokea kuasisiwa kwa mfumo wa vyama vingi?
 
CCM kwa kula matapishi yao bana....
Kikwete mbona mlimkataza?
 
2010 Wagombea wote wa CCM walikatazwa kudhuria midahalo ya mchakato majimboni aliyokuwa inaendeshwa na Shaban Kisu na wengi walishinnda 2015 leo UKAWA wakikataa kushiriki midahalo iwe nongwa
 
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.

Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.

NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS
mbona kikwete alikataa na alikufaa na ukamchagua... lowassa rais 25 oct
 
Hawana mpya hap...2010 kikwete alikataa mdahalo...kwani ni lazima...???? Wasubiri octoba 25..??
 
midahalo haina tija ndo maana hakuna hata kiongozi anayeitaka ila kwa kuwakata ngebe chama fulani mdahalo uwe wa kiingereza ili tupime kweli viongozi wetu hawatahitaji wakalimani watakapokuwa kwenye mikutano nje ya nchi
 
hatutaki midahalo na sisi,nyie si mlikataa 2010,na sisi hatutaki sasa
 
Why did Kikwete refuse the national debate against dr Sala in 2010?...and the opposite is very true this year.
Wewe acha ukilaza wako hapa tunazungumzia wagombea wa kipindi hiki cha uchaguzi
 
midahalo haina tija ndo maana hakuna hata kiongozi anayeitaka ila kwa kuwakata ngebe chama fulani mdahalo uwe wa kiingereza ili tupime kweli viongozi wetu hawatahitaji wakalimani watakapokuwa kwenye mikutano nje ya nchi
Mnaogopa midahalo nyie hamna lolote
 
Hawana mpya hap...2010 kikwete alikataa mdahalo...kwani ni lazima...???? Wasubiri octoba 25..??
Hatuzungumzii mambo ya kale hapa wewe hizo za 2010 zimehsapitwa na wakati, hapa tunajadili mambo ya sasa
 
Back
Top Bottom