Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Ni vema sasa kukawa na midahalo kwa wagombea wa nafasi za urais ili wananchi wapate kuwajua zaidi hasa sera zao zikoje.
Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.
NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS
Sio busara kwa mgombea kukataa midahalo maana hiko kitakuwa kihashiria kikubwa cha kutokubalika na kukisa kura hapo tarehe 25 Oktoba mwaka huu.
NB: MGOMBEA ANAEKATAA MIDAHALO HAFAI KUWA RAIS