Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Mfugaji wa jamii ya Kimasai, Mariam Kibuda (45), mkazi wa kijiji cha Membo Maguha, Kata ya Gairo wilaya ya Berega mkoani Morogoro, amekufa papo hapo baada ya "mgolole" wake kuingia kwenye mnyororo wa pikipiki na kumkaba shingo kisha kumwangusha chini...
Inasikitisha jamani...
Inasikitisha jamani...