Mgogoro waitikisa CHADEMA!

Nilidhani wamekula fedha za umma kumbe ni kukwamisha mradi!
Ulipouliza wanasema sababu ya kukwamisha ninini, maana usilete habari zenye kiwiliwili bila kichwa!

Hivi pesa za Halmashauri ya Karatu siyo za umma...ushabiki wa vyama hauwezi kutusaidia kupambana na ufisadi.
 
Hivi kwa nini hamtafuti habari za ukweli ndo mzilete huku.ulichoandika hakina mashiko kabisa baba.
 
wamekusikia Ritz

Hivi Meli ya Kinana itataifishwa lini? Mbona ya Samaki wa Maghufuli ilitaifishwa kwa kukutwa na maliasili zetu (samaki). Huu ndiyo ufisadi kiboko.

Au serikali yetu ni ya wachumba tu, kina RayC?. nitonye na ritz jibuni
 
Mkuu chama,
Makamanda wa kupinga ufisadi leo wanatetea ufisadi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi pesa za Halmashauri ya Karatu siyo za umma...ushabiki wa vyama hauwezi kutusaidia kupambana na ufisadi.

Meli ya samaki wa magufuli ilitaifishwa ya Kinana (the poacher) itataifishwa lini?
Ma mdogo Rayc anaendeleaje?
 

Wewe kweli MBURURA hivi unajua mfumo wa utoaji fedha katika Halmashauri unapitia ngazi ngapi? na hao madiwani na mwenyekiti wametafuna fedha hizo wao ni Wazabuni? na hapo kwenye RED fanya editing basi usijidharirishe.
 
Mwenyekiti wa halmashauri karatu ndo fisadi mkubwa hata kwenye mkutano wa chadema uliopita mjini karatu alizomewa na wananchi wakimwambia shuka jukwaani fisadi mkubwa
 
Wewe kweli MBURURA hivi unajua mfumo wa utoaji fedha katika Halmashauri unapitia ngazi ngapi? na hao madiwani na mwenyekiti wametafuna fedha hizo wao ni Wazabuni? na hapo kwenye RED fanya editing basi usijidharirishe.

Mkuu kwa hiyo wanaokula pesa za halmashauri ni wazabuni tu?
 
Kwanza kama kuna ufisadi umefanyika huko mtuhumiwa na. 1. ni Serikali ya CCM. je TAKUKURU huko Karatu wapo? na kama wapo wanasimamiwa na serikali ipi? ya CDM au CCM. Kwa sasa hakuna namna ya kukwepa wizi na ujambazi wowote unaofanyika hapa kwetu kwa mfumo wa nchi ulivyo, CCM ndiyo wenye kubeba lawama zote. je imekuwaje mradi huo wa maji ukakwama wakati kada wa CCM ambaye ni Mkuu wa wilaya yuko hapo, au siku hizi hata DC ni kada wa CDM?
Kwa sasa kuitetea CCM lazima ujivike kichwa cha mwendawazimu
 
Nakuongezea na hii ya Tumaini Makene.

Msemaji wa Chadema Tumaini Makene alisema agenda za kikao hicho zilikuwa wazi na ziliainishwa katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa juzi.
"Hakuna zaidi ya hizo na leo (jana), ni masuala ya Katiba Mpya. Kwenye yatonakayo, masuala mbalimbali katika maeneo mbalimbali ya nchi yanajadiliwa nchi nzima kwa sababu yanatokana na vikao vilivyopita si Karatu pekee. Angalia usije ukalishwa matangopori," alisema.

Ritz Naona umelishwa Matango Pori.
 
sasa za halmashauri zinaliwa na chama? Halau tangu linichama kikafnya ufisadi, ninachofaham mimi watu ndo wanafanya ufiadi i chama,nenda drsani kwanza
 
Hapo kwenye Red, naona unatafuta kuingiza siku mkuu, hivi kwa akili yako Mbunge anawezaje kula pesa? yeye ni mhasibu?

Vijana wa ccm hawana akili ya kuweza kutamabua hilo, wametumwa waharibu tu hawajui kuwa wanaharibu nchi yao na watoto wao, akina Ritz wana laana hawa
 
Last edited by a moderator:
funguka hao wabunge wamehusika kivip? Naona kama jungu vile!
 
Mkuu chama,
Makamanda wa kupinga ufisadi leo wanatetea ufisadi.

Hili ndilo tatizo la kuwa na akili ya kuungaunga. Huwezi kutoa hoja bila kuomba desa kwa mkimbizi chama?
Haya sasa Chama kuja kipande hii umuokoe huyu zuzu mnayemtuma hapa lakini hana uwezo wa kuwawakilisha!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwa hiyo wanaokula pesa za halmashauri ni wazabuni tu?

Una taabu wewe, ya nini kujivua nguo na kuonyesha ni kiasi gani uko mtupu, ndo hizi njaa ama!???
 

Meli ya samaki wa magufuli ilitaifishwa ya Kinana (the poacher) itataifishwa lini?
Ma mdogo Rayc anaendeleaje?

Maza mdogo!!??? kiuno bila mfupa teh teh teh!!!
 
Kwani wazabuni wanachaguliwa na nani? Tuchambue kwa kujenga sio kwa nia ya madaraka tu. Halmashauri zinazoongozwa na chadema zilitakuwa kuwa mfano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…