singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,531
Baada ya kumalizika Uchaguzi mambo yanaanza kubadilika
waha awana akili wote walienda act na wote wakaanguka
kwa hiyo mbatia ndo kasababisha kafulila kuanguka ubunge? je? kasababishaje?
aisee yaani NCCR naionea huruma sana, mbatia kukiua chama chake kisa ukawa, wamepoteza viti vingi vya NCCR bungeni, mtu kama kafulili tutammisi sana aisee,, inabidi NCCR wajitoe ukawa ili kujenga chama chao upya, naona joka la chadema limeimeza nccr vibaya sana,, ombi langu kwa mbatia: Jenga chama chako ili 2020 mpate wabunge wengi mjengoni, acha kutumika kuwa msemaji wa chadema na ukawa, mfikilie mtu kama davis kafulila ameanguka.
Mbona mama yako kazaa nao, naye atakuwa hana akili!waha awana akili wote walienda act na wote wakaanguka
Vingi vingapi? Walikuwa na viti vinne wamepoteza vitatu na cha Manchali huwezi sema wanepoteza maana Manchali alijitoa
Tuseme viti vinne ni asilimia mia moja (100%). Kwa mantiki hiyo ina maana NCCR wamepoteza asilimia sabini na tano (75%) ya wabunge. Hizo asilimia ni nyingi sana.Vingi vingapi? Walikuwa na viti vinne wamepoteza vitatu na cha Manchali huwezi sema wanepoteza maana Manchali alijitoa