Tujumwiche
Member
- Apr 27, 2012
- 8
- 0
Niko entebe nilona jana mamabo yao
Tusijaribiwe kwa kubonyezwa kwanza, lipua kila kirukacho maeneo ya L nyasa.
Yafaa pia askari wetu wawe tayari kwa lolote. Iwapo Wamalawi watapeleka ndege zao za utafiti katika eneo letu. Tunakila sababu ya kuwapiga. Ni undawazimu kudai kuwa ziwa lote ni la malawi wakati ziwa hilo watu wote walipewa na mungu.
Hili jambo bila mahakama ya kimataifa halitaisha.
Mkuu, itakula kwetu tukienda ICJ. JK anasema mkataba wa Heligoland una makosa. Lakini mkataba huo hata AU inautambua kikao chake cha mwaka 2007
Ninachokiona ni kwamba ziwa ni la Wamalawi. Ujerumani haikuwa na mpango wa maziwa. Ujerumani ilikuwa na meli 1 tu wakati Ureno ina 2 na Uingereza ilikuwa na 19 humo kwenye ziwa Nyasa
MBAYA ZAIDI mwaka 1898 kulikuwa na JOINT BOUNDARY COMMISSION ilihakiki mpaka wa Tanzania, Zambia na Malawi. Ujerumani ikaja kusaini mwaka 1901
Nimesoma Nyasaland colonial report ya mwaka 1920 inasema Malawi ipo kati ya longitude E33 na 36, pia Latitude S9 45' na 17 16'. Kwahiyo yale madai Wamalawi walibadili mpaka miaka ya 1950 tutupie mbali
Am not sure ata kama TZ tuna hizo fast attacking boats to deploy on lake nyasa...leo nimeshuhudia UGANDA kwenye sherehe zao za uhuru jinsi walivyo display different type of jet fighter tena za kisasa nilichopenda zaidi ni military helicopter za aina km 3 na zingine zikiwa ni attack copters...Always hua naona helicopter moja ya police yenye two blade sasa sijui tunawezaje vipi kujidefende ktk mipaka yetu..IRAN is another story kwani ktk military power imo na hiyo caspian lake is owned by Russia,Azebaijan na IRAN lakini waliweza kusimama kidete dhidi ya hayo makampuni na kikaeleweka
Hawa wamalawi dawa yao ni kuwashikisha adabu tu, wakithubutu kupitisha ndege zao ama manowari zao katika eneo la nchi yetu washughulikiwe kisawasawa.
Hata kama wamarekani na waingereza ndio wako nyuma yao lakini hatuwezi kuruhusu ardhi yetu ichukuliwe kienyeji kiasi hicho.