Habari zenu wadau,
Naombeni msaada kwenye hili.
Mimi naishi maeneo ya uswahilini ambako hakujapimwa.Jirani yangu ana mnazi ambao upo barabarani kabisa na njia ambayo ndo mimi napita na gari kuingia ndani kwangu.Gari yangu inapita kwa shida sana yaani nikifika hapo kwenye huo mti inabidi niwe makini kuilengesha gari ili nisiguse huo mti. Huyo jirani tumemuomba mara nyingi aukate huo mti na tuta mfidia lakini jibu lake ni kwamba ataukata siku anayotaka yeye kujenga lakini sio leo,toka mwaka 2010 hilo jibu ndo aliliolitoa.Kujenga hajengi na mti haukati. Nipeni mawazo wadau,je kuna sheria yoyote inayoweza kunisaidia kupata hiyo njia wakti eneo ni lake,na njia yenyewe inaenda kwenye nyumba kama tatu hivi.
Halfu kibaya zaidi huyo mzee mwenye huo mti ni mjumbe wa nyumba kumi kumi na pia ni mjumbe wa baraza la ardhi la kata.
Nipeni ushauri wa kisheria wadau cse mm naamini no one is able the law kma sheria ipo.
Naombeni msaada kwenye hili.
Mimi naishi maeneo ya uswahilini ambako hakujapimwa.Jirani yangu ana mnazi ambao upo barabarani kabisa na njia ambayo ndo mimi napita na gari kuingia ndani kwangu.Gari yangu inapita kwa shida sana yaani nikifika hapo kwenye huo mti inabidi niwe makini kuilengesha gari ili nisiguse huo mti. Huyo jirani tumemuomba mara nyingi aukate huo mti na tuta mfidia lakini jibu lake ni kwamba ataukata siku anayotaka yeye kujenga lakini sio leo,toka mwaka 2010 hilo jibu ndo aliliolitoa.Kujenga hajengi na mti haukati. Nipeni mawazo wadau,je kuna sheria yoyote inayoweza kunisaidia kupata hiyo njia wakti eneo ni lake,na njia yenyewe inaenda kwenye nyumba kama tatu hivi.
Halfu kibaya zaidi huyo mzee mwenye huo mti ni mjumbe wa nyumba kumi kumi na pia ni mjumbe wa baraza la ardhi la kata.
Nipeni ushauri wa kisheria wadau cse mm naamini no one is able the law kma sheria ipo.