syli mchunguzi
Member
- Jul 14, 2021
- 49
- 42
Kama inavyojulikana Diamond kuwa na mgogoro na baadhi ya wasanii wenzake pamoja na MEDIA kama Clouds FM na tv pamoja na EATV na radio kupiga nyimbo zake lakin na EATV kwa Sasa wanapiga ngoma zake.
Je, tofauti zao washazimaliza?
Je, tofauti zao washazimaliza?