Kwa vita anayopigwa mchizi, toka ameanza muziki mpaka leo hii basi ingekuwa msanii mwingine muda sana angeshapotea.
Nikikumbuka kipindi anaanza kulikuwa na Tanzanite alidai kaibiwa nyimbo ya Mbagala. Haikuishia hapo ikawa kila siku vita na wasanii tofauti, media influencer plus ma ex zake.
Kina Ruge, Joh makini, Alikiba, Mr blue Tundaman, Hamisa Mobetto, Clouds media, Mangekimambi, Harmonize etc etc wote hawa wamekuwa maadui wa Harmonize kwa nyakati tofauti tofauti. Lakini mwamba bado kisiki cha mpingo na bado haoneshi dalili ya kupotea kimuziki. Tumpe hongera zake mpaka hapa alipofikia.
Nikikumbuka kipindi anaanza kulikuwa na Tanzanite alidai kaibiwa nyimbo ya Mbagala. Haikuishia hapo ikawa kila siku vita na wasanii tofauti, media influencer plus ma ex zake.
Kina Ruge, Joh makini, Alikiba, Mr blue Tundaman, Hamisa Mobetto, Clouds media, Mangekimambi, Harmonize etc etc wote hawa wamekuwa maadui wa Harmonize kwa nyakati tofauti tofauti. Lakini mwamba bado kisiki cha mpingo na bado haoneshi dalili ya kupotea kimuziki. Tumpe hongera zake mpaka hapa alipofikia.