johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 718
- 703
katibu mkuu wa chama cha NCCR mageuzi Bw Sam Ruhuza jana amezomewa na wakazi wa mji wa kasulu wakati alipojaribu kueleza sababu za chama hicho kumfukuza uanachama mbunge wa kigoma kusini Bw David Kafulila
Tukio hilo limetokea jana katika stendi ya mabasi ya kasulu mjini wakati katibu mkuu huyo wa NCCR mageuzi alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara
Bw Ruhuza alizomewa na wananchi waliohudhuria mkutano huo baada ya kuwaeleza wananchi kuwa angependa kutoaufafanuzi juu ya hatua ya chamaya kumfukuza uanachama Bw Kafulia
wananchi hao walipiga kelele wakitaka chama kimrudishe Bw kafulila vinginevyo hawakitaki chama hicho. kelele hizo ziliendelea na bw Ruhuza alishindwa kuendelea na hotuba hali iliyomlazimu kumwomba mbunge Bi Zaitun Buyogele kuwatuliza wananchi hao
hata hivyo Bi Buyogele alishindwa kuwatuliza wnanchi waliokuwa wakipiga kelele na kuzomea hali iliyompelekea kumwomba diwabni w akasulu mjini kupitia NCCR mageuzi Bw Issack mkewema kuwatuliza wananchi hao
katika mkutano huo ambao mbunge wa Kasulu mjni bw Moses machali hakuhudhuria bila kutolewa sababu, wananchi waliendelea kusisitisha kuwa hwakitaki chama hicho kama hakitamrejesha Bw Kafulia
Tukio hilo limetokea jana katika stendi ya mabasi ya kasulu mjini wakati katibu mkuu huyo wa NCCR mageuzi alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara
Bw Ruhuza alizomewa na wananchi waliohudhuria mkutano huo baada ya kuwaeleza wananchi kuwa angependa kutoaufafanuzi juu ya hatua ya chamaya kumfukuza uanachama Bw Kafulia
wananchi hao walipiga kelele wakitaka chama kimrudishe Bw kafulila vinginevyo hawakitaki chama hicho. kelele hizo ziliendelea na bw Ruhuza alishindwa kuendelea na hotuba hali iliyomlazimu kumwomba mbunge Bi Zaitun Buyogele kuwatuliza wananchi hao
hata hivyo Bi Buyogele alishindwa kuwatuliza wnanchi waliokuwa wakipiga kelele na kuzomea hali iliyompelekea kumwomba diwabni w akasulu mjini kupitia NCCR mageuzi Bw Issack mkewema kuwatuliza wananchi hao
katika mkutano huo ambao mbunge wa Kasulu mjni bw Moses machali hakuhudhuria bila kutolewa sababu, wananchi waliendelea kusisitisha kuwa hwakitaki chama hicho kama hakitamrejesha Bw Kafulia