Mgogoro wa Kafulila: Ruhuza azomewa Kasulu

johnmashilatu

JF-Expert Member
Sep 16, 2010
718
703
katibu mkuu wa chama cha NCCR mageuzi Bw Sam Ruhuza jana amezomewa na wakazi wa mji wa kasulu wakati alipojaribu kueleza sababu za chama hicho kumfukuza uanachama mbunge wa kigoma kusini Bw David Kafulila

Tukio hilo limetokea jana katika stendi ya mabasi ya kasulu mjini wakati katibu mkuu huyo wa NCCR mageuzi alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara

Bw Ruhuza alizomewa na wananchi waliohudhuria mkutano huo baada ya kuwaeleza wananchi kuwa angependa kutoaufafanuzi juu ya hatua ya chamaya kumfukuza uanachama Bw Kafulia

wananchi hao walipiga kelele wakitaka chama kimrudishe Bw kafulila vinginevyo hawakitaki chama hicho. kelele hizo ziliendelea na bw Ruhuza alishindwa kuendelea na hotuba hali iliyomlazimu kumwomba mbunge Bi Zaitun Buyogele kuwatuliza wananchi hao


hata hivyo Bi Buyogele alishindwa kuwatuliza wnanchi waliokuwa wakipiga kelele na kuzomea hali iliyompelekea kumwomba diwabni w akasulu mjini kupitia NCCR mageuzi Bw Issack mkewema kuwatuliza wananchi hao


katika mkutano huo ambao mbunge wa Kasulu mjni bw Moses machali hakuhudhuria bila kutolewa sababu, wananchi waliendelea kusisitisha kuwa hwakitaki chama hicho kama hakitamrejesha Bw Kafulia
 
Back
Top Bottom