Mgogoro wa Apple na Huawei ulifikia wapi?

Bengalisis

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
1,847
2,768
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya Huawei.

Kabla sijafanya uamuzi wa kununua naomba kupata ufafanuzi kidogo wadau ni hilo tu maana hapa watu huwa wanadata karibia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi marekani na china wamekaa chini na kusuluhisha migogoro ya kiuchumi baina ya nchi hizo mbili na wameahidiana kupunguziana ama kufutiana vikwazo vya kibiashara walivyowekeana.Kwa kifupi nunua hiyo HUAWEI yenye OS ya Android hata kama wakikaziana hakuna ataekuja kukunyang'anya simu yako ili atoe hiyo OS.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana mkuu kwa maelezo mazuri sana, ubarikiwe
Juzi marekani na china wamekaa chini na kusuluhisha migogoro ya kiuchumi baina ya nchi hizo mbili na wameahidiana kupunguziana ama kufutiana vikwazo vya kibiashara walivyowekeana.Kwa kifupi nunua hiyo HUAWEI yenye OS ya Android hata kama wakikaziana hakuna ataekuja kukunyang'anya simu yako ili atoe hiyo OS.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya Huawei.

Kabla sijafanya uamuzi wa kununua naomba kupata ufafanuzi kidogo wadau ni hilo tu maana hapa watu huwa wanadata karibia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apple wanahusikaje hapo
 
Juzi marekani na china wamekaa chini na kusuluhisha migogoro ya kiuchumi baina ya nchi hizo mbili na wameahidiana kupunguziana ama kufutiana vikwazo vya kibiashara walivyowekeana.Kwa kifupi nunua hiyo HUAWEI yenye OS ya Android hata kama wakikaziana hakuna ataekuja kukunyang'anya simu yako ili atoe hiyo OS.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani walishamalizana? Ya kwangu tangu mgogolo ulipotokea Android ili collapse na Hadi leo haifanyi kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya Huawei.

Kabla sijafanya uamuzi wa kununua naomba kupata ufafanuzi kidogo wadau ni hilo tu maana hapa watu huwa wanadata karibia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haukuwa mgogoro wa applena Huawei na hata kama ungekuwa hivyo basi Android haimilikiwi na Apple bali Google.
 
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya Huawei.

Kabla sijafanya uamuzi wa kununua naomba kupata ufafanuzi kidogo wadau ni hilo tu maana hapa watu huwa wanadata karibia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu Apple Hawana mgogoro wowote na Huawei ila ni serikali ya Trump na Huawei ndio wenye mgogoro na Huawei ambayo ilituhumiwa kutumiwa na majasusi wa kichina kudukua data za watumiaji wa simu hizo especially wa Marekani lakn mgogoro umeishia japo Huawei matoleo mapya hayaji moja kwa moja na app za Google lakn una access ya Kuya downloads na Ku install kweny kifaa chako but beef nazan imeisha na vikwazo vimepunguzwa au vimefutwa walipo kaa kikao juzi kati iv maana makampun mengi ya Marekani yanayo uza vipuri vya Sim kama snapdragon au itel yalilalimika kualibiwa biashara na sirikali ya Trump Kwahiyo kama unataka kuvuta huo mzigo chukua hauna sida yoyote mzee
 
Moja kwa moja kwenye mada, naombeni kupata ufafanuzi mgogoro wa Huawei na Apple kuhusu tishio la kuondolewa uwezo wa kutumia Google kwenye simu za Huawei uliishaje maana nahitaji kununua simu ya Huawei.

Kabla sijafanya uamuzi wa kununua naomba kupata ufafanuzi kidogo wadau ni hilo tu maana hapa watu huwa wanadata karibia zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu atleast generation iliopita haikuja na app za Google.

Subiria soon watatoa p40 tutapata taarifa zaidi.
 
Back
Top Bottom