Mgogoro mkubwa Arusha Chadema waendelea kufukuzana

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,892
32,308
Wanabodi.
Baadhi ya viongozi wa Chadema kata ya Elereai, wamepinga kufukuzwa kwao madarakani na kuhishutumu kamati ya utendaji ya wilaya chini ya Mwenyekiti wake, Efatha Nanyaro.

Viongozi wanaopinga kufukuzwa madarakani ndani ya kata hiyo ni pamoja na Mwenyeketi wa Kata ya Elerai, Dominick Mboya na Katibu wake Joseph Warioba.

Wengine Mwenyekiti wa Wazee, Bakari Kasembe, Mwenyekiti wa Vijana, Paul Maganga, na Katibu wake, Sia Temu, Mwenyekiti wa Wanawake, Mariam Suleman pamoja na mweka hazina. Baraka.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mmoja wa viongozi hao, Dominick Mboya alisema kwa mujibu wa katiba ya Chadema kamati tendaji ya wilaya haina mamlaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi uliowaingiza madarakani, kilichofanyika ni uhuni na ubabe tu.

Hizo ndio siasa za Chadema Arusha.
 
Hata hivyo siasa za CHADEMA hata ngazi ya Taifa, sio zinazosababisha Madaktari kugoma, Serikali kushindwa kusimamia
mfumuko wa bei, Serikali kushindwa kusimamia mfumo mzima wa elimu kuanzia chekechea mpaka vyuo vikuu, na sio
zinazosababisha kuwa na serikali ambayo kimsingi haiwajibiki na kitu chochote kile zaidi ya kusubiri skendo ziibuke waanze
kuzifukia.

Tunahitaji kusikia ni namna gani siasa zinazosababisha matatizo hayo kwa uchache na kwa haraka zinavyobadirika
ili wananchi tupate unafuu wa maisha.

watu tumechoka sana hapa msituletee bla bla zenu alaaa.
 
Wanabodi.
Baadhi ya viongozi wa Chadema kata ya Elereai, wamepinga kufukuzwa kwao madarakani na kuhishutumu kamati ya utendaji ya wilaya chini ya Mwenyekiti wake, Efatha Nanyaro.

Viongozi wanaopinga kufukuzwa madarakani ndani ya kata hiyo ni pamoja na Mwenyeketi wa Kata ya Elerai, Dominick Mboya na Katibu wake Joseph Warioba.

Wengine Mwenyekiti wa Wazee, Bakari Kasembe, Mwenyekiti wa Vijana, Paul Maganga, na Katibu wake, Sia Temu, Mwenyekiti wa Wanawake, Mariam Suleman pamoja na mweka hazina. Baraka.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake mmoja wa viongozi hao, Dominick Mboya alisema kwa mujibu wa katiba ya Chadema kamati tendaji ya wilaya haina mamlaka ya kubatilisha matokeo ya uchaguzi uliowaingiza madarakani, kilichofanyika ni uhuni na ubabe tu.

Hizo ndio siasa za Chadema Arusha.
Kichenchede!!!
5.jpg
 
Yale yale ya NCCR - Mageuzi na DAVID KAFULILA, CUF na HAMAD RASHID. Hatuwashangai, ndiyo tabia zao wapinzani siku zote tangu walipoanza akina MREMA.
 
Efatha Nanyaro ni mnafiki sana viongozi wa aina hii ni hatari sana..

Kwenye magazeti ya leo amekiri mgogoro huo upo na kasema wote ambao hawakuridhika na uamuzi huo wakate rufaa ndani ya siku 42..

Saizi hizi humu JF anakanusha cha kushangaza zaidi Chadema-Kata wanamfia eti kajibu vizuri.
 
Yale yale ya NCCR - Mageuzi na DAVID KAFULILA, CUF na HAMAD RASHID. Hatuwashangai, ndiyo tabia zao wapinzani siku zote tangu walipoanza akina MREMA.

hivi kufukuzana na kulea waovu lipi bora? mnalea chenge,lowasa,jairo na wengineo kibao kisa mnaogopana. kwa upinzani hakuna kuleana ni timua timua tu ukienda kinyume na chama hawalei pimbi
 
Back
Top Bottom