A
Anonymous
Guest
Suala la mgogoro wa ardhi Sagale imekuwa ni hekaheka wananchi wanataka suluhu ili mambo mengine ya kimaisha yaendelee kwani watu wameishajenga na wanaishi hapo lakini suluhu imekuwa ngumu kwani Kila wakienda Halmashauri Kwa ajili ya siala hili limekuwa likipigwa kalenda na tayari Mkuu wa Wilaya wa Kibaha alishasema huduma za kijamii ziende na suluhu ipatikane lakini watu walio chini yake wanalirusha rusha siala hili.