Mgogoro katika mahusiano yangu

Mgogoro katika mahusiano yangu

Hii likizo ya pasaka ndo imeleta yote haya kweli mpaka mrudi shule tutanyooka.
 
Yeah ndo umri wangu,
Hapo kwenye mgogoro ulikuwepo Tena mkubwa maana niliwekwa mpaka blacklist kwa siku kadhaa
Ulivorkwa blacklist kuna mjuba ndo alikua anambokoa vbaya mno mpka akapewa hyo laki. We umetolewa out kama kuombwa msamaha
 
Wanaume tunapungua kwa Kasi Sana, wanaume wa kweli tunabembeleza mara Moja tena kwa maneno machache Sana unamwachia nafasi atafakari yeye mwenyewe anaendelea au aache

Ukimganda Sana atakuendesha kama gari bovu mwanaume kumove on ni kila mida hesabu ni wako unapokuwa naye Tu, usipokuwa naye wala usimuwaze

Wanaume ndio Kariba yetu

Siku zingine uhudhurie vikao vya wanaume
 
Back
Top Bottom