Ni mawazo yako. Siyo lazima watanzania wayafuate.
Binafsi huu ushauri ni ya kibaguzi. Leo ni wazawa mkoa au wilaya fulani, kesho kata, kijiji, ukoo hadi familia fulani.
Waajiri wanaangalia elimu,uzoefu, maarifa. Hizo mara nyingi ndiyo sifa waajiri wanaangalia.
Cha msingi ni watu kuendelea kuongeza elimu zao, maarifa na uzoefu.
Hata kampuni yako wewe binafsi huwezi kuajiri kwa kuangalia tu undugu. Uta fail.
Binafsi huu ushauri ni ya kibaguzi. Leo ni wazawa mkoa au wilaya fulani, kesho kata, kijiji, ukoo hadi familia fulani.
Waajiri wanaangalia elimu,uzoefu, maarifa. Hizo mara nyingi ndiyo sifa waajiri wanaangalia.
Cha msingi ni watu kuendelea kuongeza elimu zao, maarifa na uzoefu.
Hata kampuni yako wewe binafsi huwezi kuajiri kwa kuangalia tu undugu. Uta fail.