James Kulaba
Member
- Jan 28, 2020
- 6
- 1
Baada ya kumpa pesa binamu yangu ili akatoe rushwa kwenye kampuni ya kandarasi ya AUMS ambako ilikuwa ni lazima nitoe ili apate kazi sasa nimeona bora niwalipue tu hawa watu kwa kupenda pesa kuliko utu.
Kwanza awali nilitaka ni report PCCB ili wakamatwe baada ya mtego wa rushwa nikaona hiyo itakuwa njia ndefu ambayo tungeanza na mambo ya kesi, bora apate kazi kisha tuchafue hali ya hewa.
Kwa kushirikiana na mwenzangu ambaye sote tulitoa rushwa ili ndugu zetu wapate kazi yaani tuliwapa pesa ili wakahonge (Tulitenda jinai).
Sasa tunamalizia ku edit ushahidi wote wa wahusika ili sisi na mimi mtoa taarifa tusiache alama yoyote ya kujulikana na kisha wiki ijayo nitaweka majina yao wote, namba zao za Simu na Recorded voice za mazungumzo yote pamoja na picha zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza awali nilitaka ni report PCCB ili wakamatwe baada ya mtego wa rushwa nikaona hiyo itakuwa njia ndefu ambayo tungeanza na mambo ya kesi, bora apate kazi kisha tuchafue hali ya hewa.
Kwa kushirikiana na mwenzangu ambaye sote tulitoa rushwa ili ndugu zetu wapate kazi yaani tuliwapa pesa ili wakahonge (Tulitenda jinai).
Sasa tunamalizia ku edit ushahidi wote wa wahusika ili sisi na mimi mtoa taarifa tusiache alama yoyote ya kujulikana na kisha wiki ijayo nitaweka majina yao wote, namba zao za Simu na Recorded voice za mazungumzo yote pamoja na picha zao.
Sent using Jamii Forums mobile app