Duuh kama kapata taarifa ya wenzake wa~inne ataomba apigwe FULL CAPUUTI ili akija akute amepangiwa "WIZARA YA KUSOMA MAGAZETI" kama Mwandosya!
umenivunja mbavu..
Mimi nasema AFE tu....kwa sababu zangu binafsi
kwani anaumwa?
Endeleeni kuchuriana! Kolodia rumu shinga mlango!
Tutasikia asubuhi hii!kwani anasumbuliwa na nini baba wa watu?mnawapa full minister tena wa Fedha wazee watu hawawezi stress makubwa makubwa kuona nchi iko zero hela zinachotwa kwa matumizi binafsi badala kupeleka matumizi ya nchi kama bajeti inavyosema!anaumia sana na uzalendo wa nchi hii!!anajikuta anaumia ndani hadi ana develop magonjwa makubwa a pressure ma sukari anajifia tu!namkumbuka Kibona nae walim poison baada kukataa kutoa mafungu bila maelezo zinaenda wapi?chezea ufalme wewe!
haiwezekani.,hata kama mnachuki gani hatuombeani vifo...
Malipo ni hapahapa.
rip mheshimiwa...