Mhhhh, hii dunia tunachanganyika si kawaida.....
![]()
French captain Wendie Renard holds off the challenge of Germany's Celia Sasic as the favourites struggled
Hawa ndiyo Wafukuza upepo kutoka Uingereza (UK).
![]()
Shida ni kwamba wengi wa hawa wafukuza upepo wa -ke wanasagana!! Fuatilia club nyingi utakumbana na hiyo kitu!
Sasa unafikiri hivi vidume kama Wizkid vitaweza MIZIGO kama hii? Wanakimbilia viSKIN hadi vikitembea mivupa unasikia inagongana. Midume inayokimbia pia haiwapendi hawa MIZIGO maana kuvua Pichu ni kasheshe. Wanawapenda wale kutoka Eastern Europe akina Azarenka maana wale iko mkononi au hawana kabisa.
By the way, umejuaje kama wanasagana? Wee ni Mwanamke hadi ujuwe hayo? Mbona kuna Scandal nyingi kuwa huwa wanatembea na SemkondoM? Usiwazingizie bana kila walikupiga vibuti na ulivyowafukuza kwenye Chagulaga, wakakuacha mbaali, ukabaki ulimi nje na ZIGO limekukimbia na linakucheka......
Mhhhh, hii dunia tunachanganyika si kawaida.....
![]()
French captain Wendie Renard holds off the challenge of Germany's Celia Sasic as the favourites struggled
Mkuu Sikonge sio utani, wanawake wengi wanaocheza footbal wana tabia za kiume na hawapendi mahusiano ya kimapenzi na wanaume! Ungekuwa mfuatiliaji wa habari zao wawapo kambini ungeelewa na kukubaliana na ninachosema! Kwenye michuano iliyopita yalizuka mengi sana kwenye kambi ya wachezaji kutoka Nigeria hata ikabidi kocha wao ajitokeze hadharani kujaribu kukanusha! Wachazaji wa nchi za Ulaya kama vile Ujerumani hawajifichi hivyo hata kwenye jamii wanajulikana wazi! Wakati mashindano yanayoendelea kule Canada yalipoanza walitoa hadharani taarifa za lesbians 17 (15 players + 2 coaches) ambao hawana shida kujitambulisha hivyo, ili kujaribu kupunguza unyanyapaa kwa wanamichezo ambao ni lesbians! Fanya home work kidogo ya ku-google kisha urudi kuniambia! N.B. Tafadhali sisemi kuwa ni wote!!!
Leta na Picha ya Wanasaynsi, Wachumi, Wahandisi, Wasanifu nyumba, waliochangayika hivyo Pia!
Mwambie Google atakuletea hao wengine. Mie penda sana Mabebiz wenye msuli kama huyu POPP.... dahhh...
Owner wa Gatwick Airport......London.
huyo jamaa post zake nyingi ni kudharau weusi....napata shaka ni mzungu/muhindi/mchina anaejua kiswahiliotherwise atakuwa brainwashed vibaya sana.
Kama kuna JITU linafikiri Weusi huko Majuu hawafanyi vitu vyao, hata HUYU Hawamuoni?
![]()
![]()
kuna doctor mmoja specialist wa damu juzi juzi tu katoka kuwapa shule huko marekani kwa mwaliko maalum kwa sababu ya uwezo wake...yuko muhimbili hapo!
Mkuu, hata Prof. Muhongo hadi kesho German wanamtaka pamoja na nchi nyingine.
Huyu Diarra, watu wa MALI walipiga sana KELELE wakati chombo cha Pathfinder kimetua kwenye sayari ya MARS.
Cheikh Modibo Diarra: NASA's First African Astrophysicist
NASA's First African astrophysicist and key player in the exploration of Mars with the Pathfinder and Sojournerprojects, Cheikh Modibo Diarra is without doubt a brilliant scientist. As a physicist from similar background, this Malian scientist has inspired me by his intelligence and hard work. Cheikh Modibo Diarra earned his baccalaureate in Mali; he then went on to study mathematics, physics and analytical mechanics at the Pierre and Marie Curie University in Paris. After a while, he got bored by his classes (a sign of genius?) and went on an adventure exploring the world, and ended up in the USA at a friend's invitation. He then attended Howard University in Washington DC where he earned a PhD in aerospatial engineering. Later, he taught at Howard as a physics professor, until one day he met two recruiters fromJet Propulsion Laboratory (a NASA Lab) in the corridor of his building. That's when his career with NASA started. Recruited as NASA's first African researcher, Diarra participated in programs such as the Magellan probe to Venus, theUlysses probe to the Sun, the Galileo spacecraft to Jupiter, the Mars Observer and theMars Pathfinder. He later became the director of NASA's "Mars Exploration Program Education and Public Outreach."
In 1999, he created the Pathfinder Foundation for the education and development of Africa. Three years later, he founded the solar energy research laboratory of Bamako in Mali. He is involved in programs for the development of Africa. On the 20th of February 2006