bint yusuph
Member
- Nov 15, 2017
- 29
- 16
Member mpya mie nahitaji ushirikiano wenu as well nataka kufahamu sheria na kanuniiii I mean vitu gani haswa havitakiwi humu
mbinu za humu umalaya hatuutaki,stick with one guy utakayempenda,sio mara leo huyu kesho yule...
Pm ya nini tena mkuu...mgeni anataka kujua kanuni na sheria muhimu tu za Jf!Karibu njoo Pm nikupe mbinu za humu.
Naomba kujua wewe umestick na nani Sarah..??
Aisee hatari naogopa sio kwa mikwara ya humu ndaniNaomba kujua wewe umestick na nani Sarah..??
Acha uoga kamata ntu yako, ukantuze pembeni..!Aisee hatari naogopa sio kwa mikwara ya humu ndani
Asante kwa ushauriAcha uoga kamata ntu yako, ukantuze pembeni..!
Huhuhuh...! Karibu ujichukulie mimi, naona wananichezea wasijue mimi zahabu/dhahabu.Asante kwa ushauri
JamiiForums RulesMember mpya mie nahitaji ushirikiano wenu as well nataka kufahamu sheria na kanuniiii I mean vitu gani haswa havitakiwi humu