Mkwaha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 1,732
- 3,268
Tatizo Usipo Wabana Mapema Baadae Wakisha Zoea Hata Shikamoo hawakupi! Hivyo Acha Tu Tumchukue Maelezo Kwanza Au Ndugu Mjumbe Unasemaje Juu Ya Hilo?Haha..!!
JF mbona hamjui kukirimu mgeni jamani, mpaka anasema atasepa mazima seriously??
Hivi niliwafundisha hivyo kweli??