VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni saa tatu na dakika 25,umeme unakatika huku maeneo ya Mikocheni B. Naarifiwa kuwa mgawo umerejea ghafla. Giza lateka mitaa. Wenye majenereta waendelea kutesa...
Ni saa tatu na dakika 25,umeme unakatika huku maeneo ya Mikocheni B. Naarifiwa kuwa mgawo umerejea ghafla. Giza lateka mitaa. Wenye majenereta waendelea kutesa...
Updates: Punde umeme umerejea. Nimetaarifiwa na Badra Masoud,Msemaji wa TANESCO, kuwa lilikuwa ni tatizo la kiufundi. Chanzo changu cha habari cha mwanzoni nusura kiniingize Mabwepande...
hii sio habari njema kabisa, mgao tena jamani daaah
Unaona sasa, "one premise (not promise) does not make a conclusion"Updates: Punde umeme umerejea. Nimetaarifiwa na Badra Masoud,Msemaji wa TANESCO, kuwa lilikuwa ni tatizo la kiufundi. Chanzo changu cha habari cha mwanzoni nusura kiniingize Mabwepande...
Updates: Punde umeme umerejea. Nimetaarifiwa na Badra Masoud,Msemaji wa TANESCO, kuwa lilikuwa ni tatizo la kiufundi. Chanzo changu cha habari cha mwanzoni nusura kiniingize Mabwepande...