Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 664
ndugu yangu Kipipi , wajua sisi tupo karibu na shamba la umeme , ivyo haukati ovyo mpaka kipindi cha mgao , sasa mgomo ukianza ka mashine kangu ka kusaga hakata fanya kazi ntakosa pesa ya kulisha watotoSie huku kwetu umeme usipokatika siku hiyo.......mbona tutashukuru sana?!!
Last edited by a moderator: