Mgawo warejea...

Mgawo warejea...

Sie huku kwetu umeme usipokatika siku hiyo.......mbona tutashukuru sana?!!
ndugu yangu Kipipi , wajua sisi tupo karibu na shamba la umeme , ivyo haukati ovyo mpaka kipindi cha mgao , sasa mgomo ukianza ka mashine kangu ka kusaga hakata fanya kazi ntakosa pesa ya kulisha watoto
 
Last edited by a moderator:
Mi nimefikiri ni hitilafu kumbe ndio ule upuuzi wa kizembe umeanza!

Tangu saa nne usiku hatuna mpaka sasa hatunaga umeme!

Mkuu umeme umesharudi, nadhani ilikuwa ni tatizo la kiufundi japo inaonekana ni maeneo mengi yalikumbwa na dhuroba hiyo.
 
Hata huku Mbeya meneo ya uyole ni giza,Tanesco watuambie umeme ni wa mgao tujue?
 
Pande za huku morogoro manispaa umekatika jana saa moja jioni na kurudi saaa tano usiku, basi hii ilikuwa nchi nzima. Hebu watupashe ni mgao au kulikuwa na tatizo la kufundi kama sio ugaidi??
 
Kwa taharifa kutoka chanzo kimoja cha tanesco, maji yamepungua kwenye mabwawa ya kuazalishia umeme, hivyo mgao kama kawaida umerejea.
 
Sie huku kwetu umeme usipokatika siku hiyo.......mbona tutashukuru sana?!!

hahaaa kwamba mpaka leo mna mgao?sasa mmefatilia kujua labda ni matatizo ya "kiufundi" au
 
vipi tena acha vitisho maana ulinifilisi, nilikuwa na bucha za NOAH zikafa
 
Back
Top Bottom