jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Wakuu,
Tukiwa tunaelekea kwenye ndoto ya Tanzania yenye viwanda, kuanzia juzi tarehe 24/11/2015 kumekua na mgao wa umeme wa masaa zaidi ya nane kwa siku,na hivi ninashuhudia maeneo mengi ya, Kurasi, Changombe, Mbagala, Kigamboni na mengineyo hayana umeme na jana pia ulikatika kwa takribani masaa 6.Ieleweke maeneo niliyoyataja ni maeneo yenye viwanda vingi,hivyokuathiri sana uzalishaji.
Natoa rai wale wenye acces na Mh JPM wamwarifu tu kabla hajaelekeza ndoto zake kwenye viwanda,aeleze kwanza akili yake TANESCO,apambane na issue sugu za mitambo ya kuzalisha umeme kwenza.
Wasalam.
Tukiwa tunaelekea kwenye ndoto ya Tanzania yenye viwanda, kuanzia juzi tarehe 24/11/2015 kumekua na mgao wa umeme wa masaa zaidi ya nane kwa siku,na hivi ninashuhudia maeneo mengi ya, Kurasi, Changombe, Mbagala, Kigamboni na mengineyo hayana umeme na jana pia ulikatika kwa takribani masaa 6.Ieleweke maeneo niliyoyataja ni maeneo yenye viwanda vingi,hivyokuathiri sana uzalishaji.
Natoa rai wale wenye acces na Mh JPM wamwarifu tu kabla hajaelekeza ndoto zake kwenye viwanda,aeleze kwanza akili yake TANESCO,apambane na issue sugu za mitambo ya kuzalisha umeme kwenza.
Wasalam.