Huu mgao unakera sana, unajikimu mapema kufanya kazi zako jamaa nao wanafanya yao. Kibaya zaidi kwa hapa Morogoro wanakata bila utaratibu, nusu saa upo masaa mawili haupo.
Mbona hawatangazi kwamba mgao ushaanza ili tujipange na vibatari vyetu! Wasione aibu kutangaza. Huku arusha jana walikata siku nzima na hadi leo hii; mda huu naandika hapa hatuna umeme.
Dodoma pia upo, hawasemi wala nn. Wanakata kimtaa (kuanzia saa moja ya asubuhi hadi saa moja ya jioni). Yaani ukiwajua unaweza ukawauwa kabisa!!maana wanakera sana hawa watu!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.