Huyo mnafiki mwakyembe kwanza hatakiwi hata kutengewa bajeti, yeye akijaziwa mafuta kwenye gari tu inatosha kwani shughuli zake kubwa ni kuhudhuria matamasha ya wakina Saida Karoli na ikitokea kuna timu ya kigeni imekuja nchi ni kuwa tu pale airport kuwapokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.